FT: Ihefu FC 0-2 Simba Sc | NBC Premier League | Highland Estates Stadium | 10.04.2023

FT: Ihefu FC 0-2 Simba Sc | NBC Premier League | Highland Estates Stadium | 10.04.2023

Greatest Of All Time

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2017
Posts
23,620
Reaction score
52,790
Majira ya Saa 10:00 Alasiri kwa masaa ya Afrika Mashariki, Ihefu Fc itawakaribisha Simba Sc katika dimba lao la Highland Estates katika muendelezo wa Ligi Kuu ya NBC.

Habari kubwa leo, nani wa kumzuia Jean Baleke ambaye amekuwa hazuiliki sasa, kwa taarifa yako Baleke kwasasa anafunga kila mechi, alifunga mecho iliyopita hat trick na atafunga leo na mechi ijayo atafunga kama ilivyoada.

Ihefu iliyopo nafasi ya 8 itajaribu kulipa kisasi baada ya kufanyiwa mauaji ya Sharubela juzi dhidi ya Mnyama mkubwa mwituni, Simba SC, Ihefu aliloa mabao 4-1.

Simba iliyopo nafasi ya pili, itajaribu kupunguza alama dhidi ya Yanga wanaoongoza ligi kwa tofauti ya alama 8 huku ikisalia michezo sita kabla ya ligi kutamatika.

Ewe mwanasimba uliyepo Dodoma, Nakuru, Bukoba, Mwanakwerekwe, Jinja, Eldoret, Kivu na maeneo mengine usipitwe na mchezo huu mtamu.

Mchezo utakuwa mubashara Azam Sports 1HD na tutakuletea updates hapa JamiiForums kupitia uzi huu...

20230410_160526.jpg

Mchezo umeanza
2' Wenyeji wanamiliki mpira muda mwingi
8' Bado Ihefu wanaonekana kuwa na nguvu zaidi kuliko Simba
16' Simba wanafanya shambulizi kali, Baleke anapaisha mpira juu licha ya kufanya kazi nzuri ya kuwatoka walinzi
19' Shuti la Sakho linatoka nje kidogo ya lango
21' Mabadiliko kwa Simba, Sawadogo anatoka, anaingia Kapama
33' Gadiel Michael wa Simba anapata kadi ya njano kwa kucheza faulo
35' Mchezo una kasi na timu zinashambuliana kwa zamu
38' Yakouba anapata nafasi nzuri anashindwa kuitumia
45' Inaongezwa dakika moja ya nyongeza

MAPUMZIKO

Kipindi cha pili kimeanza
50' Simba wameanza mchezo kwa kasi na wanafika mara kwa mara langoni kwa Ihefu
60' Ihefu nao wanajibu mashambulizi
66' Simba wanapata faulo baada ya Mzamiru kuchezewa faulo
72' Yakouba anapiga kichwa kipa wa Simba anapangua inakuwa kona
81' Baleke anachezewa faulo karibu na lango la Ihefu
84' Jean Baleke anafunga goli la kwanza kwa Simba
87' Baleke anafunga goli la pili akimalizia kazi ya Kibu Denis
90' Mwamuzi anaongeza dakika 4 za nyongeza

FULL TIME
 
Majira ya Saa 10:00 Alasiri kwa masaa ya Afrika Mashariki, Ihefu Fc itawakaribisha Simba Sc katika dimba lao la Highland Estates katika muendelezo wa Ligi Kuu ya NBC.

Habari kubwa leo, nani wa kumzuia Jean Baleke ambaye amekuwa hazuiliki sasa, kwa taarifa yako Baleke kwasasa anafunga kila mechi, alifunga mecho iliyopita hat trick na atafunga leo na mechi ijayo atafunga kama ilivyoada.

Ihefu iliyopo nafasi ya 8 itajaribu kulipa kisasi baada ya kufanyiwa mauaji ya Sharubela juzi dhidi ya Mnyama mkubwa mwituni, Simba SC, Ihefu aliloa mabao 4-1.

Simba iliyopo nafasi ya pili, itajaribu kupunguza alama dhidi ya Yanga wanaoongoza ligi kwa tofauti ya alama 8 huku ikisalia michezo sita kabla ya ligi kutamatika.

Ewe mwanasimba uliyepo Dodoma, Nakuru, Bukoba, Mwanakwerekwe, Jinja, Eldoret, Kivu na maeneo mengine usipitwe na mchezo huu mtamu.

Mchezo utakuwa mubashara Azam Sports 1HD na tutakuletea updates hapa JamiiForums kupitia uzi huu...
Ihefu wanalipa kisasi leo
 
Ihefu
Majira ya Saa 10:00 Alasiri kwa masaa ya Afrika Mashariki, Ihefu Fc itawakaribisha Simba Sc katika dimba lao la Highland Estates katika muendelezo wa Ligi Kuu ya NBC.

Habari kubwa leo, nani wa kumzuia Jean Baleke ambaye amekuwa hazuiliki sasa, kwa taarifa yako Baleke kwasasa anafunga kila mechi, alifunga mecho iliyopita hat trick na atafunga leo na mechi ijayo atafunga kama ilivyoada.

Ihefu iliyopo nafasi ya 8 itajaribu kulipa kisasi baada ya kufanyiwa mauaji ya Sharubela juzi dhidi ya Mnyama mkubwa mwituni, Simba SC, Ihefu aliloa mabao 4-1.

Simba iliyopo nafasi ya pili, itajaribu kupunguza alama dhidi ya Yanga wanaoongoza ligi kwa tofauti ya alama 8 huku ikisalia michezo sita kabla ya ligi kutamatika.

Ewe mwanasimba uliyepo Dodoma, Nakuru, Bukoba, Mwanakwerekwe, Jinja, Eldoret, Kivu na maeneo mengine usipitwe na mchezo huu mtamu.

Mchezo utakuwa mubashara Azam Sports 1HD na tutakuletea updates hapa JamiiForums kupitia uzi huu...
alikandikwa kiganja cha mkono (kofi) 5-1
 
Hivi kuna mtu zaidi yangu amewahi kuwaza, kwa nini ratiba ya ligi na ya FA kwa muda mrefu sasa imewekwa Simba anacheza simu moja kabla ya Yanga na si kinyume chake? Hii ina manufaa kwa timu ipi?
 
Majira ya Saa 10:00 Alasiri kwa masaa ya Afrika Mashariki, Ihefu Fc itawakaribisha Simba Sc katika dimba lao la Highland Estates katika muendelezo wa Ligi Kuu ya NBC.

Habari kubwa leo, nani wa kumzuia Jean Baleke ambaye amekuwa hazuiliki sasa, kwa taarifa yako Baleke kwasasa anafunga kila mechi, alifunga mecho iliyopita hat trick na atafunga leo na mechi ijayo atafunga kama ilivyoada.

Ihefu iliyopo nafasi ya 8 itajaribu kulipa kisasi baada ya kufanyiwa mauaji ya Sharubela juzi dhidi ya Mnyama mkubwa mwituni, Simba SC, Ihefu aliloa mabao 4-1.

Simba iliyopo nafasi ya pili, itajaribu kupunguza alama dhidi ya Yanga wanaoongoza ligi kwa tofauti ya alama 8 huku ikisalia michezo sita kabla ya ligi kutamatika.

Ewe mwanasimba uliyepo Dodoma, Nakuru, Bukoba, Mwanakwerekwe, Jinja, Eldoret, Kivu na maeneo mengine usipitwe na mchezo huu mtamu.

Mchezo utakuwa mubashara Azam Sports 1HD na tutakuletea updates hapa JamiiForums kupitia uzi huu...
Mnyama nipigie hao Ihefu 3-1
 
Hivi kuna mtu zaidi yangu amewahi kuwaza, kwa nini ratiba ya ligi na ya FA kwa muda mrefu sasa imewekwa Simba anacheza simu moja kabla ya Yanga na si kinyume chake? Hii ina manufaa kwa timu ipi?
Kubuy more attention ya watu

Nahisi ni swala la kiniashara zaidi

Nahisi
 
TANGAZO

KAMA SIMBA ATASHINDA LEO HAPA(HIGHLAND ESTATES STADIUM)...
NITATOA KG 20 ZA MCHELE(Free) KWA SHABIKI YOYOTE WA SIMBA ALIYEPO UWANJANI..
 
Back
Top Bottom