AlaaaaaaNina Wasiwasi na Kikosi Cha Simba. Niwe Muwazi
Ihefu hata uwafunge 20 kwako. Uwanja wake wa Nyumbani sio Wa Kuwadharau.
Yanga walidharau Ihefu wakafa pale. Azam waliwadharau Wakafa pale. Leo simba Mechi muhimu kama Hii anaingia na Kikosi cha Kuwadharau Ihefu kisa Mechi ya Mwisho alishinda 5
Mechi wakiboronga hakuna hata Sub ya Kuingia kubadirisha Matokeo. Viongozi wa Simba Mtuambie kama Hamtaki hili Kombe la Ligi mseme. Sio kwa Ujinga Huu
Hii ni topic ya kujitegemeaInterpolation baada ya mechi ya Leo inaonyesha kama Baleke angesajiliwa dirisha kubwa angefikisha magoli 52 leo
Yeah Kwa moto mliopelekewa ingekuwa ngumu kurudi, kwasababu tu Yaccuba na wenzake hawakuwa seriousFirst half ilivyoisha sikutaka kurudi, luckily temeshinda
Hamna kikosi kipana 📌📌Rudia tena ulichoandika
simba chama langu ila bado tuna safari ndefuMigoli ya somasoti unaita papatu. Hater ni ugonjwa.mbaya
Unaumia ukiwa chaka gani?Nadhani mpira ulishatinga wavuni mwanzoni kwa header, ila akaona isiwe taabu ngoja nipige acrobatic kabisa. Sijajua refa angeamuaje kama asingemalizia kwa tiktak
View attachment 2583481
+ Rashford + Victor osimhemHuyu baleke ni haaland mtupu
Only nbcIhefu 5
Umeficha wapiHii ndiyo ihefu ninayoijua sio ile ya sikuile walipewa pocket money (bahasha)
Lakini Yacouba alikuwa bora sana ila yule dogo aliyesimama pale golini alikuwa jiniYeah Kwa moto mliopelekewa ingekuwa ngumu kurudi, kwasababu tu Yaccuba na wenzake hawakuwa serious
Ina manufaa KWA Yanga ili ajipange kupata ushindi. Anakuwa anajua kasi ya Simba na kujipanga.Hivi kuna mtu zaidi yangu amewahi kuwaza, kwa nini ratiba ya ligi na ya FA kwa muda mrefu sasa imewekwa Simba anacheza simu moja kabla ya Yanga na si kinyume chake? Hii ina manufaa kwa timu ipi?
Si kweli unaongea vitu usivyovijua.Kutokana na mechi za CAF,, huwa wanaanza Simba zen Yanga
Ili wote wapate muda sawa wa kupumzika basi ktk mashindano ya ndani lazima ianze kucheza Simba afu Yanga
Mfano Simba kacheza 7 April kapumzika siku mbili mpk 10 April anacheza na Ihefu..
Yanga kacheza 8 Aprili atapumzika siku mbili mpk 11 April kucheza na Kagera Sugar…
Next time punguza mihemko [mention]SAYVILLE [/mention]
Phaller sana wewe[emoji23]Papaaa baleke mopao e kibinda nkoi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Baleke mmoja sawa na Mayele, Musonda na Aziz Ki kama kifungashio
Mashuti mengi ni off target first half,ni ile diving header tu ndiyo ilikuwa hatari.....ila Golikipa namba tatu yule ni hazina Kwa Taifa asipotezweLakini Yacouba alikuwa bora sana ila yule dogo aliyesimama pale golini alikuwa jini
Jamaa alichokisema ni sahihi. Kabla ya michuano ya ya CAF hatua ya makundi kuanza, Timu ya Yanga ilikuwa ndio inatanggulia kucheza michezo yake kisha siku inayofuata ndio Simba inacheza. Na michezo mingi alikuwa anatangulia Yanga ila ratiba imekuja kubadilika kutokana na ratiba ya CAF inaanza kucheza CAFCL kisha siku inafuata CAFCC hivyo Simba ikabidi itangulie kucheza michezo yake ya ndani kisha ifatie Yanga ili timu zote ziwe na gap sawa ya muda wa mapumziko.Si kweli unaongea vitu usivyovijua.
Kila wiki Kuna mechi za CAF.
Ratiba ya kuibeba Yanga. Siyo bahati mbaya.
Tigo iko salama?Dogo ni jina lako au la baba ako
Ndiwoooooooh!!!!!!!!@&#&#&₩(!&×&&×*
Simbaaaaaa
#Jiniiii##