Wetu yupi? Mimi nazungumzia general process ya mchezo wa soka, si lazima awe Diara. Kuna mechi ya Wydad vs Gallax, golikipa wa Galaxy alikuwa nyota wa mchezo kwa kufanya saves 9, akapata alama 10 kati ya 10Ndio maana ya kua golikipa bora sio wenu kila ikilengwa golini imo
Kabisa kafanya kijana nguvu zimeishia kitandaniHamisa Mobetto muache Aziz Ki tafadhali.
Ndio lakini sisi ni mabingwa wewe ni wa tatu 😂Ukiona golikipa wa timu anafanya saves nyingi, kwa lugha nyingine ni kwamba timu hiyo inashambuliwa hadi kipa anafikiwa mara kwa mara
Wakati mwingine muwe mnazungumzia soka, sio kila jambo unaliwekea tafsiri ya unaziNaona Ihefu wamewafurahisha, ile dhana yenu ya Ihefu kuiachia Yanga mmeumbuka nayo.
😁😂😂Hamisa Mobetto muache Aziz Ki tafadhali.
Sio mabingwa, hii ni nusu fainali. Vipi kijana wa Luc Eymael?Ndio lakini sisi ni mabingwa wewe ni wa tatu 😂
Soka vipi wewe Dili na timu yako mbovuWakati mwingine muwe mnazungumzia soka, sio kila jambo unaliwekea tafsiri ya unazi
Hivi hata aibu huna wewe na timu yako mbovuSio mabingwa, hii ni nusu fainali. Vipi vijana wa Luc Eymael?
Ndio tatizo la kuanza kushabikia soka kipindi Haji Manara amekuwa msemaji wa klabuSoka vipi wewe Dili na timu yako mbovu
Ungejibu hoja walau ningekuona ulimaliza kidato cha nne, hukukatiza masomoHivi hata aibu huna wewe na timu yako mbovu