FT: Ihefu SC 0-1 Young Africans SC | CRDB Federation Cup | Sheikh Amri Abeid , Arusha | 19.05.2024

Ungejibu hoja walau ningekuona ulimaliza kidato cha nne, hukukatiza masomo
Sawa lakini wewe timu huna hoja Gani yaani nijibu hoja kwa shabiki wa timu mbovu ambayo imetoa Raha mara mbili kwa Yanga SC
 
Ndio tatizo la kuanza kushabikia soka kipindi Haji Manara amekuwa msemaji wa klabu
Wewe roho inakuuma na utateseka sana na timu yako mbovu ongea yote uwone ndio maana rage alikuwa sahihi kuhusu nyinyi makolo
 
Wewe roho inakuuma na utateseka sana na timu yako mbovu ongea yote uwone ndio maana rage alikuwa sahihi kuhusu nyinyi makolo
Kama vile umepanic, kunywa energy baridi. Chagua mwenyewe Azam Energy au Mo Energy
 
Wakati mwingine muwe mnazungumzia soka, sio kila jambo unaliwekea tafsiri ya unazi
Baada ya kupewa ukweli, hapa mnaangalia mpira kinafiki tu baada ya dhana yenu wanasimba kwenda hovyo
 
Ngapi ngapi huko???

Tanesco manina sana

Ntarudi kuangalia FT ngapi ngapi πŸšΆπŸ»β€β™€οΈπŸšΆπŸ»β€β™€οΈπŸšΆπŸ»β€β™€οΈπŸšΆπŸ»β€β™€οΈπŸšΆπŸ»β€β™€οΈ!

Cc Smart911
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…