Nenda kadili na makolo wenzio wewe 😂Ngoja nimalizie kufanya codes huku. Mtaniambia idadi ya saves zilifika ngapi. Ninalog out kwa sasa
All the best chama la ushindi.....
Mwambie mo dewji au msemaji wenu sawa wewe mwenye timu mbovu wa tatu fc wabovu fc rage alikuwa sahihi nyie sio wazimaKama vile umepanic, kunywa energy baridi. Chagua mwenyewe Azam Energy au Mo Energy
Fatilia post no 1Jamani, tupeni updates......timu ipi Ya Mwigulu imefunga?
Majibu anayo MwiguluHawa tuliwapigaje tano 🙄🙆♂️
Kumbe na Mwigulu naye anamiliki timu kama ilivyo kwa Moo!Jamani, tupeni updates......timu ipi Ya Mwigulu imefunga?
Mwigulu tena?Majibu anayo Mwigulu
Kabeesa. Japo wamebana hatari.All the best chama la ushindi.....
Huyo ihefu apate kono lake akasimuliane na wenzie
Si mkaangalie mechi yenu ya mashujaa cup mnacheza dhidi ya Kiluvya UnitedJamani, tupeni updates......timu ipi Ya Mwigulu imefunga?
Kapona huyoPacome recovery yake bado