Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Tupo imara
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tukianza na nani Mangungu au Try Again? Ulimsikia Kaduguda alivyosema?Makolo ni takataka.
Basi mnapoteza hii game ila bahati nzuri mmeshazoeaWamepata goli
Wewe ni wa kwanguNjoo na main id yako, ninong'oneze sikioni wasisikie
Kuna kitu hakipo Sawa Simba, Kwa mara ya Kwanza Leo namuona shabiki wa Simba anashangilia goli la Ihefu.
Tarehe 20 kuna tetemeko la ardhi litatokea kwahili ninaloliona hapa.
Tayari Ihefu kashamnyoa mtuBasi mnapoteza hii game ila bahati nzuri mmeshazoea
Kuna kitu hakipo Sawa Simba, Kwa mara ya Kwanza Leo namuona shabiki wa Simba anashangilia goli la Ihefu.
Tarehe 20 kuna tetemeko la ardhi litatokea kwahili ninaloliona hapa.
Mimi nikishaonaga id joined 2023Wewe ni wa kwangu
Wazee wa kumaliza mchezo first half....Tupo imara
Madhara ya kushabikia mambo yasiyowahusu badala ya kufocus timu Yao sasa ndio wanayaona.Gooooooooooooooal
Ubuntu botho
Haitakiwi kuwa hivi.Basi mnapoteza hii game ila bahati nzuri mmeshazoea
Uwe na mzuka tu wala usiwe na wasiwasi 😂Mimi nikishaonaga id joined 2023
Huwaga sina mzuka, hata mazoea huwa sipendi wengi wenu ni backup id😎
Ihefu atapiga Kolowizard km Ngoma leo subiri vilioHaitakiwi kuwa hivi.
Benchika aje na mpango mzuri.
Ndugu yangu hii 5imba itakuja kukuangusha kwa presha....Half Time!!
Zoeana na sisi.Mimi nikishaonaga id joined 2023
Huwaga sina mzuka, hata mazoea huwa sipendi wengi wenu ni backup id😎