Acha hasira utaharibu simu yako.unaongea upumbavu simba alipigwa 5 azam 4 nao wanafadhiriwa
Hahahah
Hizo goli 5 Hersi alinunua kwa Aishi Manula na Inonga na Clotus Chama. Au unajitoa ufahamu kima mzee weweunaongea upumbavu simba alipigwa 5 azam 4 nao wanafadhiriwa
Kamanda sio?
chasambi kashindwa kufunga leoJAMA matokeo jama