NAGAMAHONGA
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 11,131
- 9,301
Kichaa kajisaidia juu ya bati.Halafu kocha anashambulia kama kichaa aisee hersi anajua kuwapiga mwiko nyuma anajiokotea tu vitu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kichaa kajisaidia juu ya bati.Halafu kocha anashambulia kama kichaa aisee hersi anajua kuwapiga mwiko nyuma anajiokotea tu vitu
Atapata ahueni maana wakikosea Simba ataona kama ndie alianzisha Giza.Hivi kesho Simba ikishinda
Chadhambi atafurahi au ata huzunika sana ?
Nasubiri jibu la uhakika na ukweli bila unafki.
Ha ha ha nisije logwa Mimi.Huo mbembelezo huwa nawapa wakaka wa simba tuu... 😀 😀
😀😀😀Nyie Uto mnataka acheze nani kwani leo?? kila mtu mbaya
Tuje na calculator au hivihivi vidole vinatoshaSasa tukae chini tujadili
Wat was the final score ya marudio?Naangalia marudio hapa,uwenda yanga wakapata bao 😄😄
Mbona umeutelekeza uzi wakoMabingwa wa muda wote wa ligi ya Tanzania Bara, Mabingwa watetezi wa ligi kuu msimu huu na vinara wa ligi YOUNG AFRICANS SC watashuka dimbani leo majira ya saa 10 za jioni ugenini kuwakabili JKT TANZANIA katika dimba la Meja Jenerali Isamhyo.
Je, Yanga kuendelea kujichimbia kileleni wa msimamo? usikose kufuatilia mtanange huu wa kukata na shoka, na ambatana nami katika uzi huu kukuletea "updates" mwanzo hadi mwisho wa mchezo huu.
Updates
Dimba ni safi hakuna mvua timu zinaingia uwanjani, yanga wamevaa jezi za njano juu mpaka chini, huku JKT wakivalia jezi za blue juu mpaka chini.
Vikosi vya Timu zote
First half updates,
JKT Tanzania 0-0 Yanga
1' Mpira umeanza
15' Milango migumu kwa timu zote
21' Mzize anatoaka nje kupata matibabu baada ya kuumizwa Nangu
36' Bado Milango migumu kwa timu zote
38' Mzize anapiga shuti kali na kuishia mikononi mwa mlinda lango
HT: JKT Tanzania 0-0 Yanga
Umetisha
Kiasi mkuuuUmetisha
Ameshinda na njaaa Sasa hivi anagulia vidonda vya tumboWakuu niko mbali na mnara hausomi, nipeni matokeo ya utto
Mtakuwa mulilogwa.Kamdomo ketu wanayanga baada ya mai wetu kulazimishwa sale na Fountain Gate ndiko kametuponza. Yaana wasahambuliaji wetu walikuwa wakifika golini wanaishiwa nguvu. Tumefika golini mara nyingi sans lakini miguu wa washambuliaji ikawa inakuwa mizto kwenye kumalizia
Ndio holoholo walivyo ukoo wao.Mbona umeutelekeza uzi wako