FT: JKT Tanzania 0-0 Yanga | Meja Generali Isamuhyo stadium | Ligi kuu NBC | 10.2.2025

FT: JKT Tanzania 0-0 Yanga | Meja Generali Isamuhyo stadium | Ligi kuu NBC | 10.2.2025

Kamdomo ketu wanayanga baada ya mai wetu kulazimishwa sale na Fountain Gate ndiko kametuponza. Yaana wasahambuliaji wetu walikuwa wakifika golini wanaishiwa nguvu. Tumefika golini mara nyingi sans lakini miguu wa washambuliaji ikawa inakuwa mizto kwenye kumalizia
 
Mabingwa wa muda wote wa ligi ya Tanzania Bara, Mabingwa watetezi wa ligi kuu msimu huu na vinara wa ligi YOUNG AFRICANS SC watashuka dimbani leo majira ya saa 10 za jioni ugenini kuwakabili JKT TANZANIA katika dimba la Meja Jenerali Isamhyo.

Je, Yanga kuendelea kujichimbia kileleni wa msimamo? usikose kufuatilia mtanange huu wa kukata na shoka, na ambatana nami katika uzi huu kukuletea "updates" mwanzo hadi mwisho wa mchezo huu.

Updates
Dimba ni safi hakuna mvua timu zinaingia uwanjani, yanga wamevaa jezi za njano juu mpaka chini, huku JKT wakivalia jezi za blue juu mpaka chini.

Vikosi vya Timu zote
First half updates,

JKT Tanzania 0-0 Yanga
1' Mpira umeanza
15' Milango migumu kwa timu zote
21' Mzize anatoaka nje kupata matibabu baada ya kuumizwa Nangu
36' Bado Milango migumu kwa timu zote
38' Mzize anapiga shuti kali na kuishia mikononi mwa mlinda lango

HT: JKT Tanzania 0-0 Yanga
Mbona umeutelekeza uzi wako
 
Kamdomo ketu wanayanga baada ya mai wetu kulazimishwa sale na Fountain Gate ndiko kametuponza. Yaana wasahambuliaji wetu walikuwa wakifika golini wanaishiwa nguvu. Tumefika golini mara nyingi sans lakini miguu wa washambuliaji ikawa inakuwa mizto kwenye kumalizia
Mtakuwa mulilogwa.
 
Hivi kwanini simba tusiombe uwanja wa jkt ndio uwe wa nyumbani
 
Huu uzi unashukaje kizembe,nimejitolea kuendelea nao kila unaposhuka ili uwe juu
 
Nimeangalia goal live bodo inasoma 0-0 Ina maana match haijaisha?
 
Back
Top Bottom