pesakilakitu
JF-Expert Member
- Aug 17, 2024
- 1,618
- 2,861
Haya ni machozi ya chasambi yamefanya kazi. Karma is bi***h. Na Bado na Mimi nimeloga wapate sare mechi 6 mfululizoMashenzi sana nyie yani page zote kumzodoa mtoto wa watu anaejitafuta...mazee mazima mpk mabango mkamwekea..mkajisahau kuwa kuna leo na kesho...
Ahaaa mtabiri umetisha sanaaaaa....
Hujambo wapi Bwana sema kweli umeumiaaaa Mrs Chasambiπ πHahahaaa. Lol
Ahsante Mtani mi sijambo. π€ͺ
Kufwa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] who cares..Nimelia sana, leo hata kula sili[emoji17]
Mapuuzi kabisa...yakiongozwq na Ali komwe waoHaya ni machozi ya chasambi yamefanya kazi. Karma is bi***h. Na Bado na Mimi nimeloga wapate sare mechi 6 mfululizo
Dah ningetia hela correct score mwananguAhaaa mtabiri umetisha sanaaaaa....
Yanii sema mm ndo sijuagi mambo ya betting..hahahahDah ningetia hela correct score mwanangu
Hakika huyu dogo akiendelea hivu, ni hazina kwa taifa.WILSON NANGU NI MALI.
Uchawi huo kibuyu?πππ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dah mkuu sipati picha maumivu yake ..Mimi nilikua nimekalia kibuyu ..,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sa Mkuu kuumia naachaje wakati pale juu pana raha yake eti.Hujambo wapi Bwana sema kweli umeumiaaaa Mrs Chasambiπ π
Singida B S walipewa hadi penati Wakakosa, na nyie?REFAAAA TUPE PENALTY
Yanga bila figusu hakuna kitu. Leo wameshindwa kuhonga wachezaji na wameshindwa kuruka ukuta pia hawakuweza kujidunga sindano zao kenge sana hawakumbe na kipigo mara 4 mfululizo alinunua kwa nani
Yanga wamchukue huyo dogo coz koplo na Mwamnyeto umri utawakataa.Hakika huyu dogo akiendelea hivu, ni hazina kwa taifa.
Ukiona utopwinyo anaongoza ligi basi ujue Simba hajacheza...Sa Mkuu kuumia naachaje pale juu pana raha yake eti.
Hapa nawaza na kuwazua tunabakiaje wakati nyie bado hamjacheza eti. Lol π
Cheza mechi zetu mwanangu,Sa Mkuu kuumia naachaje pale juu pana raha yake eti.
Hapa nawaza na kuwazua tunabakiaje wakati nyie bado hamjacheza eti. Lol π