OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
- Thread starter
- #41
Sio kweliAnatakuwa ashinde kuanzia 3 ndo awe mshindi wa pili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kweliAnatakuwa ashinde kuanzia 3 ndo awe mshindi wa pili
Hahaha hakunaga cha zaidi kwenye mechi kama hiyo zaidi ya ushindi wa migoli kibao.Wanamsimbazi Naona Mmepata Nguvu Ila Hamtoamini Hao Watu Wa Kusini Watakavyopark Basi Na Mkapata Alama Moja
Haipo hivyoAnatakuwa ashinde kuanzia 3 ndo awe mshindi wa pili
Asec watupatie hata droo tu kwao tutawashukuruWidad wana timu bovu jamani hadi huruma
Soma tena hiyo ni live tableSijaelewa
Sisi Galaxy huwa tunakiwasha vyema tukiwa ugenini haswa pale kwa Mkapa.Hawa Galaxy hawana tu Utulivu wanabutua butua ila Widadi hakuna timu hapa..
Kama wakitulia Wanawafunga
Nimesoma ila sijaelewa inahusiana vipi na madai yako ya kusema Wydad anahitaji kushinda bao 3 ili ashike nafasi ya piliSoma tena hiyo ni live table
Wydad hata ashinde goli 20 akilingana point na Simba ataendelea kubaki nyuma ya Simba maana katika Head-to-Head yupo nyuma ya Simba kwa mabao 2-1 na hawakutani tenaAnatakuwa ashinde kuanzia 3 ndo awe mshindi wa pili
Hapa Wydad ili apae nafasi ya pili inatakiwa ashinde 4-0,
Kili hujui ueleweshwe, au wewe ni Muha?Soma tena hiyo ni live table
Mbna sijabishana mkuu!Kili hujui ueleweshwe, au wewe ni Muha?
Wydad inatakiwa ashinde ngapi?
Hata akishinda 50 inabidi simba afungwe au adroo ndo awe wa 2.Hapa Wydad ili apae nafasi ya pili inatakiwa ashinde 4-0,
Acheni uongo nyieHapa Wydad ili apae nafasi ya pili inatakiwa ashinde 4-0,