FT: Jwaneng Galaxy 0 - 0 Simba | CAFCL | Francistown Stadium | 02.12.2023

FT: Jwaneng Galaxy 0 - 0 Simba | CAFCL | Francistown Stadium | 02.12.2023

Basi umemaliza shughuli, hawa jwaneng ni timu ya kawaida tu.
Ni moja wapo ya timu ambayo kwa mtazamo wangu haikustahili kufika hapa ilipo, na imefika hapa kutokana na uzembe walioufanya Orlando Pirates.... kwenye preliminary stage Ile game ya kwanza Pirates eti walipunzisha wachezaji wao muhimu sababu ya game ya Ligi iliyokuwa mbele yao dhidi ya Sundowns, matokeo yake wakafungwa, halafu game ya pili majamaa yaka watoa kwa matuta.

Imagine sasa hivi tungekuwa tunaangalia mechi ya Simba vs Pirates na sio hawa washamba wanaotegema kubaki basi tu na kufunga magoli ya kuvizia vizia.
 
Ni moja wapo ya timu ambayo kwa mtazamo wangu haikustahili kufika hapa ilipo, na imefika hapa kutokana na uzembe walioufanya Orlando Pirates.... kwenye preliminary stage Ile game ya kwanza Pirates eti walipunzisha wachezaji wao muhimu sababu ya game ya Ligi iliyokuwa mbele yao dhidi ya Sundowns, matokeo yake wakafungwa, halafu game ya pili majamaa yaka watoa kwa matuta.

Imagine sasa hivi tungekuwa tunaangalia mechi ya Simba vs Pirates na sio hawa washamba wanaotegema kubaki basi tu na kufunga magoli ya kuvizia vizia.
Ndio tuwafunhe sasa tuache longolongo
 
Ni moja wapo ya timu ambayo kwa mtazamo wangu haikustahili kufika hapa ilipo, na imefika hapa kutokana na uzembe walioufanya Orlando Pirates.... kwenye preliminary stage Ile game ya kwanza Pirates eti walipunzisha wachezaji wao muhimu sababu ya game ya Ligi iliyokuwa mbele yao dhidi ya Sundowns, matokeo yake wakafungwa, halafu game ya pili majamaa yaka watoa kwa matuta.

Imagine sasa hivi tungekuwa tunaangalia mechi ya Simba vs Pirates na sio hawa washamba wanaotegema kubaki basi tu na kufunga magoli ya kuvizia vizia.
Wafungeni sasa
 
Ni moja wapo ya timu ambayo kwa mtazamo wangu haikustahili kufika hapa ilipo, na imefika hapa kutokana na uzembe walioufanya Orlando Pirates.... kwenye preliminary stage Ile game ya kwanza Pirates eti walipunzisha wachezaji wao muhimu sababu ya game ya Ligi iliyokuwa mbele yao dhidi ya Sundowns, matokeo yake wakafungwa, halafu game ya pili majamaa yaka watoa kwa matuta.

Imagine sasa hivi tungekuwa tunaangalia mechi ya Simba vs Pirates na sio hawa washamba wanaotegema kubaki basi tu na kufunga magoli ya kuvizia vizia.
Wapewe pongezi zao tu sababu timu inayoatahili kuvuka ni ile inayokusanya point na wamefanya hivyo halafu wanaendelea kufanya.
 
Duu, Kibu out. Ngoja tuone plan ya kocha maana kibu alikuwa anapush.
 
Ni moja wapo ya timu ambayo kwa mtazamo wangu haikustahili kufika hapa ilipo, na imefika hapa kutokana na uzembe walioufanya Orlando Pirates.... kwenye preliminary stage Ile game ya kwanza Pirates eti walipunzisha wachezaji wao muhimu sababu ya game ya Ligi iliyokuwa mbele yao dhidi ya Sundowns, matokeo yake wakafungwa, halafu game ya pili majamaa yaka watoa kwa matuta.

Imagine sasa hivi tungekuwa tunaangalia mechi ya Simba vs Pirates na sio hawa washamba wanaotegema kubaki basi tu na kufunga magoli ya kuvizia vizia.
Naona tushukuru tunacheza na hawa washamba ... kwasababu hao Pirates wangetunyoosha..

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom