Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Simba wako serious KWELI?? Sidhani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi umemaliza shughuli, hawa jwaneng ni timu ya kawaida tu.Hata hiyo mechi ya waydad sio kwamba walicheza vizuri, hapana walicheza mpira wa ovyo tu(ant-football playing style) kama huu unao uona hapa... Maana waydad walishambulia sana sema hawakuwa clinical kwenye finishing, watu walipigiwa Kona 14 kwa 1, mashuti 11 kwa 1...
Kwanza hata like goli lenyewe walilofunga kwenye hiyo mechi ya waydad ni kosa la kizembe sana la beki, alikuwa anarudisha mpira kwa kipa mshambuliaji wa jangwena akakitana nayo....
Hamna kitu apo wakishinda sana Moja bila au saleSimba wako serious KWELI?? Sidhani
Huenda hiyo ikawa ni mbinu yao, ila ninachokiona simba tungekuwa vizuri hapa tungeoata matokeo.Sawa boss ila rikodi zinaonyesha jamaa si wabovu na inaonekana ni aina ya mchezo kutumia mda mwingi kuzuia kisha wanakuotea.
Hapo sawa maybe kutakua na changesOnana nje, Chama ndani
Kuna Sub kocha kafanya labda itatusaidia.Huenda hiyo ikawa ni mbinu yao, ila ninachokiona simba tungekuwa vizuri hapa tungeoata matokeo.