Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Wenye timu yao walimuhitaji.Aliyemrudisha Micquson alikosea sana..
Bora wangembakisha OKWA mara 10...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wenye timu yao walimuhitaji.Aliyemrudisha Micquson alikosea sana..
Bora wangembakisha OKWA mara 10...
Hata kama ila kwenye uhalisia haina quality yeyote kucheza mashindano hayaNdio inaongoza kundi lake.
Si muwafunge sasaKwa mtu mgeni anayeangalia hii michuano kwa mara ya kwanza akiambiwa hii ni moja wapo ya timu 16 Bora zinazowania taji la afrika.... Ataidharau sana hii michuano.
Mbona inaongeza kundi na wenye quality hawapo kileleni ?..Hata kama ila kwenye uhalisia haina quality yeyote kucheza mashindano haya
Haya jwanex aisee yaani wapo kwao lakin mpira haueleweki hapo wanacheza na simba ambayo bado haipo kwenye formIpi Sasa apo
Amefinya mara laki tisa halafu akatoa nje. Kafanya ujinga.Baleke alikuwa anafikiria nini..
Waache nyenyeMbona inaongeza kundi na wenye quality hawapo kileleni ?..
Mpira ni matokeo.
TujuzeMsimamo wa group la Yanga kwa sasa ndo unatia huruma.
Kwa hiyo unakubali kua hamkurogwaKwa timu hii, zile tano tulistahili.
Muhimu wanapata matokeo yanayowaweka pazuri.Haya jwanex aisee yaani wapo kwao lakin mpira haueleweki hapo wanacheza na simba ambayo bado haipo kwenye form
Aliyemrudisha ni ninyi mashabiki.Aliyemrudisha Micquson alikosea sana..
Bora wangembakisha OKWA mara 10...