Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AaahaaaaNgapi huko kwa mlioko live
Kwa hiyo katika group upo juu ya jwaneng?W?liosema jwang ni level ya juu na kwamba simba itafungwa, yako wapi?
Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
Ila anaongoza kundi mpka sasaJwaneng' ni mdhaifu sana
Nashukuru umekiriSimba mpaka saizi hatujashinda mechi yeyote ya kimataifa
Mpigwe tenaNgoja tusubiri sa moja
Wewe ni 🦁Itoshe kusema Simba Msimu huu Hatuna Timu ya Ushindani kamwe
😂😂🤣🤣😁Itoshe kusema Simba Msimu huu Hatuna Timu ya Ushindani kamwe
Kwamba wewe umefurahia hii draw??Waliosema jwang ni level ya juu na kwamba simba itafungwa, yako wapi?
Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
Nenda mkajifariji na maoni ya wachezaji wa Al Ahly na viongozi kuwa Makolo ni dude fulani kubwa hivi ,maana ndio slushindi na kombe lenu lililobaki.Wala
Hawakawii kuzimiaKwa mkapa mjaze uwanja ili astoke mtu
Unacheka nini sasa...hivi una nguvu za kucheka kweli?.droo tena away..nyie mlipondwa 3 kwa sufurii🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😂😂😂😂😂😂😂
Tuwaunge mkono al hilal ya sudan tuItoshe kusema Simba Msimu huu Hatuna Timu ya Ushindani kamwe
Mnapata wapi nguvu za kumsema mtu amedroo ugenini na nyie mlochabangwa 3 kwa sifuri..Nenda mkajifariji na maoni ya wachezaji wa Al Ahly na viongozi kuwa Makolo ni dude fulani kubwa hivi ,maana ndio slushindi na kombe lenu lililobaki.
Poor Makoloz...
Wale watani zetu hawajawahi kuwa waongoNenda mkajifariji na maoni ya wachezaji wa Al Ahly na viongozi kuwa Makolo ni dude fulani kubwa hivi ,maana ndio slushindi na kombe lenu lililobaki.
Poor Makoloz...