FT: Jwaneng Galaxy 0 - 0 Simba | CAFCL | Francistown Stadium | 02.12.2023

FT: Jwaneng Galaxy 0 - 0 Simba | CAFCL | Francistown Stadium | 02.12.2023

Tanesco wamekata umeme, hivi hawa watu wako timamu kweli?
Kweli sisi weusi bado tuko kwenye evolution bado hatujawa binadamu kamili.
Tulifanya majaribio umeme ukaanza tatizo tukianza safar itakuaje
 

Match Day
🏆CAF Champion League

⚽ Jwaneng Galaxy vs Simba
🏟️ Francistown Stadium
🗓️ 02.12.2023
⏰ 1600hours (EAT)

Kikosi cha Jwaneng' Galaxy kinachoanza.
View attachment 2831454

Kikosi cha Simba Kinachoanza
View attachment 2831455
All the Best Mnyama.

Updates...
Sasa ni Saa Tisa na Dakika 25 Alasiri.
Hali ya hewa ya Dar es Salaam ni ya joto kidogo, maeneo mengi yana mawingu ya hapa na Pale...

Zimebaki dakika 34' tu kipute hiki kianze.
Huko FrancisTown Stadium.

Saa 9:55 Alasiri, team ndio zinaingia Uwanjani sasa,
Uwanja unaonekana kuwa na mashabiki wachache sana.

Simba atacheza ugenini bila pressure ya Mashabiki...

10:00 jioni.
Mpira umeanza na Walionzisha ni Jwaneng'

Dakika 0' sekunde ya 55 Simba wanakosa goli la wazi hapa

Dakika 2'
Onana anapiga mpira unatoka nje inakuwa goli kick

Dakika 3'
Kibu anacheza faulu hapa


#Nguvumoja#...
Mpara sasa Simba wanatawala mpira
 
Back
Top Bottom