Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulifanya majaribio umeme ukaanza tatizo tukianza safar itakuajeTanesco wamekata umeme, hivi hawa watu wako timamu kweli?
Kweli sisi weusi bado tuko kwenye evolution bado hatujawa binadamu kamili.
RELII RELIIII
Mpara sasa Simba wanatawala mpira
Match Day
🏆CAF Champion League
⚽ Jwaneng Galaxy vs Simba
🏟️ Francistown Stadium
🗓️ 02.12.2023
⏰ 1600hours (EAT)
Kikosi cha Jwaneng' Galaxy kinachoanza.
View attachment 2831454
Kikosi cha Simba Kinachoanza
View attachment 2831455
All the Best Mnyama.
Updates...
Sasa ni Saa Tisa na Dakika 25 Alasiri.
Hali ya hewa ya Dar es Salaam ni ya joto kidogo, maeneo mengi yana mawingu ya hapa na Pale...
Zimebaki dakika 34' tu kipute hiki kianze.
Huko FrancisTown Stadium.
Saa 9:55 Alasiri, team ndio zinaingia Uwanjani sasa,
Uwanja unaonekana kuwa na mashabiki wachache sana.
Simba atacheza ugenini bila pressure ya Mashabiki...
10:00 jioni.
Mpira umeanza na Walionzisha ni Jwaneng'
Dakika 0' sekunde ya 55 Simba wanakosa goli la wazi hapa
Dakika 2'
Onana anapiga mpira unatoka nje inakuwa goli kick
Dakika 3'
Kibu anacheza faulu hapa
#Nguvumoja#...
et crown price Kim 😂Crown Prince chama na leo anaanzia bench
JWA wepesi, vijana wetu watumie akili tu.Mpara sasa Simba wanatawala mpira
Simba sasa kujituma kunaonekana.
Simba wapo on fire
Muhimu sana washinde ili kufufua matumaini ya robo fainali.Mpara sasa Simba wanatawala mpira
Naomba link ya mechiMuhimu sana washinde ili kufufua matumaini ya robo fainali.