FT: Jwaneng Galaxy 0 - 0 Simba | CAFCL | Francistown Stadium | 02.12.2023

FT: Jwaneng Galaxy 0 - 0 Simba | CAFCL | Francistown Stadium | 02.12.2023


Match Day
🏆CAF Champion League

⚽ Jwaneng Galaxy vs Simba
🏟️ Francistown Stadium
🗓️ 02.12.2023
⏰ 1600hours (EAT)

Kikosi cha Jwaneng' Galaxy kinachoanza.
View attachment 2831454

Kikosi cha Simba Kinachoanza
View attachment 2831455
All the Best Mnyama.

Updates...
Sasa ni Saa Tisa na Dakika 25 Alasiri.
Hali ya hewa ya Dar es Salaam ni ya joto kidogo, maeneo mengi yana mawingu ya hapa na Pale...

Zimebaki dakika 34' tu kipute hiki kianze.
Huko FrancisTown Stadium.

Saa 9:55 Alasiri, team ndio zinaingia Uwanjani sasa,
Uwanja unaonekana kuwa na mashabiki wachache sana.

Simba atacheza ugenini bila pressure ya Mashabiki...

10:00 jioni.
Mpira umeanza na Walionzisha ni Jwaneng'

Dakika 0' sekunde ya 55 Simba wanakosa goli la wazi hapa

Dakika 2'
Onana anapiga mpira unatoka nje inakuwa goli kick

Dakika 3'
Kibu anacheza faulu hapa.

Dakika 8'
Simba waapata faulu nje kidogo ya 18.
Inapigwa vizuri ,
Kipa wa Jwaneng' anaokoa

Dakika 9'
Jwaneng' wanakosa goli hapa

Dakika 10'
Jwaneng' wanapata kona ya kwanza.
Inapigwa lakini haileti madhara yoyote

Dakika 12'.
Tumeotea. (offside)

Dakika 13'
Ngoma anapiga shuti kali , linapaa juu inakuwa goal kick.

Dakika 16'
Jwaneng' wanapata faulu.
Inapigwa anadaka vizuri kipa wetu Ayubu

Kuna mzozo unatokea hapa.
Baleke amechezewa vibaya lakini refa anauchuna

Dakika 19'
Kipa wa Jwaneng' anafanyiwa matibabu .
Mpira umesimama kidogo

Dakika 21'
Simba tunachezea nafasi ya wazi hapa.
Mpira hautulii kabisa mguuni.

Wakati huo huo Kibu D yuko chini. kafanyiwa faulu

Dakika 24'
Tunakosa tena goli la wazi kabisa hapa

Dakika 26'
Jwaneng' wanapiga faulu ila inatoka nje inakuwa goal kick

Dakika 27'
Baleke anakosa tena hapa.
Huku Possession ikiwa ni Sisi 71%
Wao 29%

Dakika 29'
Saido anachezewa faulu inapigwa haileti mafanikio

Dakika 31'
Mpira umesimama kwa Dakika 1
Wanakunywa maji.
Joto ni kali.

Dakika 33'
Game On...
Simba tunahitaji utulivu kidogo tu hawa watu wanapigika

Dakika 34'
Baleke anakosa tena

#Nguvumoja#...
Kibu kama kawaida first 11, Chama bench, mpira sio ufaza Bali kujituma mazoezini
 
Huyu kipa wa Galaxy mbona kama anaundugu na Mboto yule mchekeshaji?
 
Back
Top Bottom