Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Imeanzishwa mwaka 2013!Sijui umefika duniani lini Mkuu?😝😝😝😝😝Nakumbuka nilipokuwa mdogo wa miaka 8 ndio nilianza kuipenda hii timu ya Jwaneng Galaxy timu yangu ya mtaani kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imeanzishwa mwaka 2013!Sijui umefika duniani lini Mkuu?😝😝😝😝😝Nakumbuka nilipokuwa mdogo wa miaka 8 ndio nilianza kuipenda hii timu ya Jwaneng Galaxy timu yangu ya mtaani kabisa
Upo vizuri au ulikuwa na [emoji223] octopusUtabiri wangu.
Jwaneng 0 vs 2 Simba.
KILA LA KHERI SIMBA NGUVU MOJA.
Kazi ya kuleta heshima kwa Taifa, imeendelea vizuri sana kwa mabao wawili..Hii ndo maana ya Klabu Kubwa.Ghazwat OKW BOBAN SUNZU Kalpana BRN Mshana Jr Utopologist na wanyama wote wa Msimbazi kazi iendelee.
Simba nguvu moja.
Al Hilal ya SudanRivers kapigwa na nani na ni timu ya nchi gani?
Imeanzishwa 2015 nilikuwa na miaka 8 mkuuImeanzishwa mwaka 2013!Sijui umefika duniani lini Mkuu?😝😝😝😝😝
Jamaa alianza kuipenda ilipoanzishwa mwaka 2015 wakati huo ana miaka 8. Jamaa kwa sasa ana miaka 14 bila shaka.Timu imeanzishwa mwaka 2015 wewe ulianza kuipenda ukiwa na Miaka 8, Mbona Haviendani
Kuwa Hater Ni Kazi Sana [emoji28][emoji28]
Na wewe umekosa wa kuwaonea huruma kabisaMaisha haya siyo ya kuteseka kiasi hiki...
Mpaka nakuonea huruma
EwalaaaaJamaa alianza kuipenda ilipoanzishwa mwaka 2015 wakati huo ana miaka 8. Jamaa kwa sasa ana miaka 14 bila shaka.
Vema mkuu.Imeanzishwa 2015 nilikuwa na miaka 8 mkuu
Waoooh hongrletaaaaNimeota leo Simba inashinda goli 2
Nawapongeza kabisa kabla ya mechi kuanza. Hongereni Simba kwa ushindi wa ugenini.
Nyie nyani wa pori la Utopolo mnachoweza ni kwenda kuwapokea wapinzani wetu na so zaidi ya hapoKwa kiwango hiki cha Makolo mwaka huu watapigwa na Yanga mara nne, 1.Ligi Mara mbili
2. FA
3. Mapinduzi
Upo kaka?
Naona unamchuza mwenzio. Akinywa mo energy bado atakuwa anamchangia mwekezaji wa simba.Simba ndio alama ya soka la Tanzania Kimataifa...Ukibisha kunywa mo energy
Ehee sawa! Jiandaeni kuwapokea,mkawabebe airportHawa ni vibonde.,......
toka lini makhiri khiri wakajua mpira !!??
ww kichaa nini
Hapa Utopolo huwaoniUKIONA SIMBA
ANASHINDA
KIMATAIFA
UNAWEZA SEMA
KIMATAIFA NI
RAHIISI, INGIA
WEWE SAS
duuh!Pole😅😅😅habari zenu tunazo mmewavizia wabotswana haraka haraka kama ngumi za tyson
na nimeona kocha wao akihojiwa anasema mmbebwa na refarii
nyie mikia kwenye makundi mnashika mikia kama mikia jina lenu tukione kikosi chenu kipana kilichopanuka sana sehemu za nyuma kwa sasa
yaaan timu mbooooooooooooooovu sana msiombe mkutane na yanga kwa sasa ombeeni hivo siku zisogeee moto wetu labda utapungua
Nyamizi Kavirondo Nyonzo bin mvule
Unateseka ukiwa wapi ww nyani fchabari zenu tunazo mmewavizia wabotswana haraka haraka kama ngumi za tyson
na nimeona kocha wao akihojiwa anasema mmbebwa na refarii
nyie mikia kwenye makundi mnashika mikia kama mikia jina lenu tukione kikosi chenu kipana kilichopanuka sana sehemu za nyuma kwa sasa
yaaan timu mbooooooooooooooovu sana msiombe mkutane na yanga kwa sasa ombeeni hivo siku zisogeee moto wetu labda utapungua
Nyamizi Kavirondo Nyonzo bin mvule