desayi
JF-Expert Member
- Aug 27, 2017
- 3,593
- 5,848
Ina na nyie ni weak kwa wanaijeria [emoji3][emoji3][emoji3]Simba ni weak kwa Tp mazembe, Yanga na Biashara na ndio hizo mkapigwa ila huko kwa Galaxy ni kupiga Bomu mochari na kujisifu umeua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ina na nyie ni weak kwa wanaijeria [emoji3][emoji3][emoji3]Simba ni weak kwa Tp mazembe, Yanga na Biashara na ndio hizo mkapigwa ila huko kwa Galaxy ni kupiga Bomu mochari na kujisifu umeua
Basi tusamehe Mama, tutaanza kukupiga vitatu na kuendelea ili na ww uridhikeSiku hizi Utopolo ni bao moja chaliii yani wakifunga kimoja basiiii. Sijui nguvu zinawaishiaga
Acha kutuona mafala basi ndo unajifarijili sioLigi yao Botswana ina bingwa wa 2019-2020
2020-2021-Ligi haikuchezwa
2021-2022-Haijaanza kabisa
No research, No right to speak
Wewe ni kama mtu aliekata tamaa yani kwa sbb tulitoka droo au kufungwa ndo inakupa uhalali wa kusema timu mbovu bado hujanishawishi. Inamana timu kama barcelona ikitoka droo au kufungwa unaitoa kwny ubora wake? Wewe tulia unywe kahawa ukipiga soga. Msimu ndo kwaaaanza umeanzaTimu mbovu hata ipambane vipi haiwezi kubadilika, kwani ubovu wenu umeanza kwenye mechi ya jana tu
Ubovu wenu umeanza tangu mechi za pre season mlipotoa sare zote na vitimu vya kawaida kabisa, mkaja simba day Tp mazembe wakapata vumbi la congo na wakawapiga kimoja, mkaja kwenye Ngao ya hisani likatumika tena vumbi la Congo na tukajilia vyetu wanaume, mkaja kwa wanajeshi wa mpakani kichura chura kikahusika na kupona tundu la sindano, mkaja kwa Dodoma Jiji bila zile chupli chupli shughuli yenu ilikuwa imeisha
Yaani kwa Jwaneng ni sawa kupiga Bomu mochwari na kujisifu umeua
Hivyo hamuwezi nyie ni kama jogoo wa shamba. Msije fia uwanjaniBasi tusamehe Mama, tutaanza kukupiga vitatu na kuendelea ili na ww uridhike
Wameanza sijui marefa wa Caf ni simbaTulia unatia aibu. Yani roho inakutoka badala uwaambie timu yako wajitahidi msimu ujao kama watafuzu any way. Achana na Simba kaka utapata stress ushindwe kumpa haki yake wifi yetu. Simba ni ingine mzee baba. Mnaposema timu mbovu mnaamsha ari ya kupambana nyie endeleeni tuu mwisho wa siku msitafute mchawi.
Watakuwa wazee wa nyeto ni bao moja moja tuSiku hizi Utopolo ni bao moja chaliii yani wakifunga kimoja basiiii. Sijui nguvu zinawaishiaga
Poor them. Kwa sbb ubora ni pamoja na kuweza kumiliki mpira muda mrefu na zaidi ya yote kuweka magoli mengi nyavuni. Sasa huo ubora wa utopolo toka msimu umeanza ni goli moja chaliii so hawanaa mbinu za kiufungaji?.Watakuwa wazee wa nyeto ni bao moja moja tu
Unabishana na utopolo kabsaa, acha kuumiza akili kiongozi hao ndivyo walivyo hawaelewi chochote, tuliwapiga Vita lakini walidai ni mbovu, tukawapiga Alhyl ya misri wakadai ni mbovu, emu acha kusumbukaNdiyo utaratibu wa mashindano yote, timu kubwa huwa zinakutana na weak opponent ili mwishoni zikutane kubwa kubwa
Wanajitia aibu tuu kwakweli ni bora wanyamaze. Basi na wao watafute hela wahonge kama kuhonga ni kunywa uji. Au kama Barbra ndo anahonga papuchi na wao watafute CEO mkalii waanze kupata bonus. Kikubwa ushindi kama ndivyo wanavyohisi.Wameanza sijui marefa wa Caf ni simba
Huwez kua na mwakilishi kama hakukua na mashindanoLigi yao Botswana ina bingwa wa 2019-2020
2020-2021-Ligi haikuchezwa
2021-2022-Haijaanza kabisa
No research, No right to speak
biashara alitufunga wapi? Hatuuapoteza Mchezo wowote kwenye ligi sisiKwahyo mlipigwa mechi ngapi? Nikumbushe
Huo ndo ukweliAcha kutuona mafala basi ndo unajifarijili sio
Huwezi kuwa bora miaka yote, timu mbovu inaonekana inapocheza uwanjaniWewe ni kama mtu aliekata tamaa yani kwa sbb tulitoka droo au kufungwa ndo inakupa uhalali wa kusema timu mbovu bado hujanishawishi. Inamana timu kama barcelona ikitoka droo au kufungwa unaitoa kwny ubora wake? Wewe tulia unywe kahawa ukipiga soga. Msimu ndo kwaaaanza umeanza
Yaani timu ya simba imejaa wavunja kuni tu, yaani hakuna wachezaji ambao ni wanyumbulifuHivyo hamuwezi nyie ni kama jogoo wa shamba. Msije fia uwanjani
Sasa Yanga ni bora? Wewe Chura fc,utopolo fc,Huwezi kuwa bora miaka yote, timu mbovu inaonekana inapocheza uwanjani
Endeleeni kulishwa matango pori nyie makolo bwenzi
No research, U have no right to write anythingHuwez kua na mwakilishi kama hakukua na mashindano
Unataka wanyumbue nini Sasa wanavyowanyumbua hamuoni?Yaani timu ya simba imejaa wavunja kuni tu, yaani hakuna wachezaji ambao ni wanyumbulifu
Timu zote ambazo tumezifunga ndio wanajua ubora wetu, akiwemo na Simba na kupigiwa mpira mwingi sanaSasa Yanga ni bora? Wewe Chura fc,utopolo fc,
Sasa kama hawajacheza muda mrf ndo wangeonyesha kiu ya kucheza. By the way unawadharau ile timu wakati wamecheza mpira mzuri tuu hata Yanga hamuoni ndani kwaoNo research, U have no right to write anything