FT: Kagera Sugar 2 - 1 Tanzania Prisons NBC Premier League: 3 Nov 2023

FT: Kagera Sugar 2 - 1 Tanzania Prisons NBC Premier League: 3 Nov 2023

Mad Max

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2010
Posts
26,961
Reaction score
77,890
Ni kivumbi tena, Kagera Sukari wakiwa wenyeji kuwakaribisha wajelajela wa Tanzania.

Hadi sasa Dakika ya 45 Wakata Miwa wanaongoza kwa goal 1 lililotupiwa na Chirwa Obrey kwa mkwaju wa penati, dhidi ya Prisons wakiwa na Sifuri
 
Mpira mzuri sana, Prisons wanapeleka sana moto
 
Dah Kagera sukari wamekosa kosa goal la pili hapa.
 
Dakika yoyote kuanzia sasa ni HT
 
Kwa dakika 45 zilizopita, ingawa Kagera wanaongoza kwa goal 1 walilolipata badala ya kuchezewa madhambi ndani ya 18, ila mpira wao bado upo chini ya kiwango ukifananisha na wajelajela.
 
Tukumbushane leo tar 3 Nov

KMC 1 vs Dodoma Jiji 2.
Mtibwa 1 vs JKT 2.
 
Kwa kuziangalia hizo forward za timu zote mbili, ngumu sana kupenyeza ndani ya beki za timu kubwa kama Yanga na Simba. Wako slow na wazito wa maamuzi ya fasta.
 
Sema mpira butu butu sana
 
Sub zinafanyika hapa naona Kagera wanapoteza muda tu
 
Ila miili ya wachezaji wetu ni wazi kabisa mlo na mazoezi ni tatizo.
 
Back
Top Bottom