Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
- Thread starter
- #281
ππ€£ππππVipi una mashaka na lishe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ππ€£ππππVipi una mashaka na lishe?
Huyu jamaa sijui kimemkuta niniKatika wachezaji Yanga tulijua tumelamba dume na tulimuimba sana ni Max nzengeli, lakini cha ajabu kashuka kiwango vibaya mno. Kawa wa kawaida mno
Pacome kwenye ligi kuu sio wamotoWACHEZAJI WOTE WAZITO TU LEO SIYO FARIDI HATA PACOME NAE WEWE UNAANGALIA MPIRA AU UNASIKILIZA KWENYE REDIO.??
Labda kama una mfananisha na Ayubu KhanMETACHA HANA TOFAUTI NA AYUBU SEMA KAGERA HAJAMJULIA TU.
METACHA NI MOJA KATI YA MAKIPA WAZEMBE TU.
Ndio kawaida ya mechi ndogoMechi imepoa
Jirani umeanza lini hii tabia.
Europe kufanya nini?Wafungwe tu hao uto,na Diara akitoka afcon ananyoosha Europe moja kwa moja
Juzi ilishinda 5-1 na Hattrick ilikuwepoTimu haina match fitness dah
Nilipokuona umeweka makazi kwenye huu uzi tu nikajua leo.....
Metacha ndio mbadala wa DiarraYule kipa wao mwingine hayupo?
Inamaana Yanga haina mbadala wa Diarra?
Ni goli halali kabisa, Uto wamebebwa ila kiukweli walikuwa wamefungwalile goli wamepata kagera lilikua halali ila refa amelikataa kwasababu zake binafsi...
Kabeeesa rafiki!Jirani umeanza lini hii tabia.
Haikuwa bahati. Tunaganga yajayo sasa.
HajarogwaDah! Aliyemroga Max Nzengeli ana roho mbaya sana. π
Nanyie muwe mnaangalia na timu bana mara ngapi tunawaambia?Dah Laki yangu ndo inaenda kweli au naota [emoji22]...????
Yanga acheni us*ng*
Shida hata Yanga apoteze pointi vipi..Sina Imani kabisa na timu yangu ya Simba Sc
aachie wap mpumbavu yule anajiangusha muda woteVipi kaachia mkuu?
Mkuu tuwe serious Kweli ungeweza kunionya dhidi ya Kagera !?Nanyie muwe mnaangalia na timu bana mara ngapi tunawaambia?
Afadhali, ingesaidia kidogo.Kwa Camera gani?
Mechi za mkoani inapelekwa Camera moja tu nayo ina lensi ya Infinix
Ikitokea incident mchezaji kaipa mgongo Camera na kuhitaji Camera ya mbele iweze kukupa tukio linaloendelea hauwezi kupata ni mpaka usubirie jamaa ageuke na mpira kui face Camera
Sasa in that case ikafanyika faulo maana yake hauwezi kujua nini kimefanyika hata kama wakienda na hizo Tablets.
Mechi za hapo kwa Mkapa at least walikuwa aanaweka Camera nyuma ya goli lakini nazo mara kibao zimekuwa useless.
Ni nadra sana kuona zikitumika kwenye marejeo ya mpira.
Kingine ni mfumo wa replay kwa Azam unashida.
Replay za Azam zina mnato wa kama ku scratch yani hazipo proper kiukweli.
kwanza hapo ncheke πππMetacha ndio mbadala wa Diarra