Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
NakaziaMukwala apumzike sasa
Uto wanawashwa washwa sana tuKudinywa anadinywa Kagera, Utto Jazz wanakata mauno.
Jamaa yupo strategic sana. Alichoamua ni kuwapa watu matokeo wakati akiendelea kuingia kwenye mfumo.Ahoua sio mtu wa udambwi udambwi lakini utamkuta yupo kwenye assist na magoli
Wabongo tuna ujuaji sana.Wako wapi waliokuwa wanasema ngoma hamna kitu.
Kila nikisema kwa viungo wa simba ngoma ana nafasi kuna watu walikuwa wanatamani kushika mpaka bunduki.. Huyu ndio ngoma, mido ya boli, ana akili ya mpira.
ApumzikeKwann kamtoa