Lee Van free
JF-Expert Member
- Aug 14, 2024
- 1,535
- 5,332
Safi kabisa.Tulia wewe huyu jamaa anapitia mpito tu
Hata dube ,mukwala na wengine walikua hivi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safi kabisa.Tulia wewe huyu jamaa anapitia mpito tu
Kuna watu walisema huyu nae Hana faida SimbaMukwalaaaa😀😄😀😄😃
Kafunguliwaaaaaa🏃🏃
Goli 03 za Tabora alifungwa nani? Upenzi wa timu usikutie upofu kijana.Yanga waliangushwa na eneo la golikipa na sio timu kiujumla,,yale magoli 2 waliyofunga mashujaa angekuwepo diarra asingefungwa magoli kama yale,,,Simba yenyewe imekamilika na kipa wao namba Moja yupo ivyo usilinganishe ivyo vitu
Ninachompendea Chasambi huwa haogopi kuingiza miguu yake katika mipira ya kugombania au kulazimisha foul. Huyu na Kibu ni baba mmoja mama mbalimbali.Chasambi atakuja kuwa player wa moto sana, nadhani kuna mtu kamshauri kuhusu lile swala lake la uchoyo.
Mpira/soccer ni magoli5-2=3 🚮