Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
Lolote liwakute. Leo lazima mpasuke
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lolote liwakute. Leo lazima mpasuke
Huyo hana akili na hawezi kukuelewa. Ila wale Wazee 2 wenye akili wao wamekuelewa.Kwa muktadha wako, nitakuwa sahihi nikisema Yanga Sc amshukuru sana Mungu kushinda goli 3-2 dhidi ya Mashujaa nitakuwa sawa.?
Maana Mashujaa hawakuwa makini tu, hasa ukizingatia walihitaji goli moja tu ili watoe sare, na kwa zile nafasi walizokosa hilo moja lisingekoseakana kama wangekuwa makini.
Yanga waliangushwa na eneo la golikipa na sio timu kiujumla,,yale magoli 2 waliyofunga mashujaa angekuwepo diarra asingefungwa magoli kama yale,,,Simba yenyewe imekamilika na kipa wao namba Moja yupo ivyo usilinganishe ivyo vituKwa muktadha wako, nitakuwa sahihi nikisema Yanga Sc amshukuru sana Mungu kushinda goli 3-2 dhidi ya Mashujaa nitakuwa sawa.?
Maana Mashujaa hawakuwa makini tu, hasa ukizingatia walihitaji goli moja tu ili watoe sare, na kwa zile nafasi walizokosa hilo moja lisingekoseakana kama wangekuwa makini.
Hiyo "Vinginevyo" unakusudia kwamba wangesawazisha??Akili za mbumbumbu ni habari nyingine,,ubao unasoma 5-2 na Kagera wameangushwa na umakini wao mdogo pale kwenye umaliziaji vinginevyo mshukuru mungu,,
Wewe kama kweli unaujua Mpira unaona kitu Gani kwenye defence line ya timu yako?Hiyo "Vinginevyo" unakusudia kwamba wangesawazisha??
Basi kama unawaza hivyo utakuwa na Ballon D'or ya ujinga
Chamaaaaaaaa
Kagera wanataka tuwape kwa mkopoAlistahili kuwa man of the match
Ajiangalie sanaSub za fadru huwa zina hatari sana
Chamou anajua ila ni mzitoMagoli hayo ya hovyo yanatokana na Simba Sc kukosa center back anayejua kunusa hatari kwenye ukuta wake, nadhani anajulikana.
Chamou na Hamza ni wazuri sana ila wote wanakosa anticipation kwenye mashambulizi ya kushtukiza.
Na refa awe kayokohuwa ni hatari kabla ajakutana na yanga wakikutana anaitwa mara 3
Sub ya mutales na mzamiru ndo ziliharibu mpiraJamani Mutale Atupishe,akae pembeni kabisaaa
Ifike kipindi kocha awe na msimamo wanaofanya vibaya wasipangwe,Sub ya mutales na mzamiru ndo ziliharibu mpira
Vipi kama akina Mukwala, Mutale na Ahoua nao wangekuwa makini Kagera si wangepigwa goli 10,kipa wao naye kafanya kazi ya ziada kupunguza idadi ya magoli. Vipi utopolo walipocheza na Kagera matokeo yalikuwaje?Akili za mbumbumbu ni habari nyingine,,ubao unasoma 5-2 na Kagera wameangushwa na umakini wao mdogo pale kwenye umaliziaji vinginevyo mshukuru mungu,,
Kuweni na subira,siku akifunguka mtasahau yote hayaMutale atupishe