FT: Kagera Sugar FC 2-5 Simba SC | NBC Premier League | Kaitaba Stadium | 21 Dec 2024

FT: Kagera Sugar FC 2-5 Simba SC | NBC Premier League | Kaitaba Stadium | 21 Dec 2024

Lile goli la Pili ukiangalia ni kama Camara aliliacha liingie makusudi tu maana alishajua points tatu ni zetu hivyo hakutaka kutumia nguvu tena
Yes. Aliona akiruka anaweza akaumia ikawa hasara zaidi kwa timu ya Simba. Hata mm nilimuona mkuu. Hii mbinu Utto hawawezi kuigundua na kuitumia kwenye mechi zao.
 
Amewaachia tu we si umeona hata ambavyo alikuwa hajisumbui kunusa hatari

Tungekuwa tunaongoza kwa goli 1 ndio ungeona umakini wake

Muogope sana mtu anayedaka penati za CAF
Magoli hayo ya hovyo yanatokana na Simba Sc kukosa center back anayejua kunusa hatari kwenye ukuta wake, nadhani anajulikana.

Chamou na Hamza ni wazuri sana ila wote wanakosa anticipation kwenye mashambulizi ya kushtukiza.
 
Hii miwa ni mitamu kweli kweli
1000017600.jpg
 
Pale Uto kuna kipa gani angeweza kudaka yale magoli ya Kagera?

Tuanze na yule kipa wenu aliyedaka mpira wa goli la 2 kama anaoga mtoni kwa kutumia mikono akiwa amechuchumaa.
Magoli ni magoli tu na kufungwa ni kufungwa tu,,sema Kagera Wana shida kubwa kwenye eneo lao la mwisho maana kwa nafasi walizopata Kagera tungeshuhudia magoli mengi leo
 
Amewaachia tu we si umeona hata ambavyo alikuwa hajisumbui kunusa hatari

Tungekuwa tunaongoza kwa goli 1 ndio ungeona umakini wake

Muogope sana mtu anayedaka penati za CAF
Akili za mbumbumbu ni habari nyingine,,ubao unasoma 5-2 na Kagera wameangushwa na umakini wao mdogo pale kwenye umaliziaji vinginevyo mshukuru mungu,,
 
Magoli ni magoli tu na kufungwa ni kufungwa tu,,sema Kagera Wana shida kubwa kwenye eneo lao la mwisho maana kwa nafasi walizopata Kagera tungeshuhudia magoli mengi leo
Mpira hauko hivyo maana ni mchezo wa makosa na usahihi, kama kila team ingekuwa inahesabu magoli kwa nafasi ilizokosa matokeo yangekuwa kama yale ya mpira wa kikapu.

Ukitaka kuhesabu nafasi zilizopotea, habu hesabu na zile za Simba Sc halafu uniambie ilitakiwa kuwa na magoli mangapi.
 
Magoli ni magoli tu na kufungwa ni kufungwa tu,,sema Kagera Wana shida kubwa kwenye eneo lao la mwisho maana kwa nafasi walizopata Kagera tungeshuhudia magoli mengi leo
Mpira hauko hivyo maana ni mchezo wa makosa na usahihi, kama kila team ingekuwa inahesabu magoli kwa nafasi ilizokosa matokeo yangekuwa kama yale ya mpira wa kikapu.

Ukitaka kuhesabu nafasi zilizopotea, habu hesabu na zile za Simba Sc halafu uniambie ilitakiwa kuwa na magoli mangapi
 
Akili za mbumbumbu ni habari nyingine,,ubao unasoma 5-2 na Kagera wameangushwa na umakini wao mdogo pale kwenye umaliziaji vinginevyo mshukuru mungu,,
Kwa akili zako hizo nyingi, hebu fanya hesabu za magoli ya wazi waliyokosa Simba Sc, Kagera ndio ashukuru Mungu kufungwa hizo chache.
 
Magoli ni magoli tu na kufungwa ni kufungwa tu,,sema Kagera Wana shida kubwa kwenye eneo lao la mwisho maana kwa nafasi walizopata Kagera tungeshuhudia magoli mengi leo
Kama Kipa wa Kagera ilifika hatua akaushika mpira na kuulaani. Kwanini usimpongeze Musa Camara kwa kazi aliyoifanya?
 
Mpira hauko hivyo maana ni mchezo wa makosa na usahihi, kama kila team ingekuwa inahesabu magoli kwa nafasi ilizokosa matokeo yangekuwa kama yale ya mpira wa kikapu.

Ukitaka kuhesabu nafasi zilizopotea, habu hesabu na zile za Simba Sc halafu uniambie ilitakiwa kuwa na magoli mangapi
Pamoja na ayo nasema Kagera Wana shida kwenye eneo lao la mwisho,,Ukitaka kulinganisha wachezaji wa Simba na Kagera ni vitu viwili tofauti ndio maana naiangalia Kagera kwa nafasi walizotengeneza dhidi ya timu inayowazidi uwezo kwa mchezaji Mmoja mmoja
 
Pamoja na ayo nasema Kagera Wana shida kwenye eneo lao la mwisho,,Ukitaka kulinganisha wachezaji wa Simba na Kagera ni vitu viwili tofauti ndio maana naiangalia Kagera kwa nafasi walizotengeneza dhidi ya timu inayowazidi uwezo kwa mchezaji Mmoja mmoja
Kwa muktadha wako, nitakuwa sahihi nikisema Yanga Sc amshukuru sana Mungu kushinda goli 3-2 dhidi ya Mashujaa nitakuwa sawa.?

Maana Mashujaa hawakuwa makini tu, hasa ukizingatia walihitaji goli moja tu ili watoe sare, na kwa zile nafasi walizokosa hilo moja lisingekoseakana kama wangekuwa makini.
 
Back
Top Bottom