We mzee una kweli, duuh.SIMBA❤❤❤🔨📌📌🔨💪🏿View attachment 3181354
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We mzee una kweli, duuh.SIMBA❤❤❤🔨📌📌🔨💪🏿View attachment 3181354
Yeah, Juninho mpiga faulo asiye na mfano.Goli kama hili la Ahoua mara ya mwisho alifunga Juninho Pernambucano
Washaija wamelewa rubisi.Washaija msituangushe. Ushindi kwa timu ya nyumbani.
Dakika nje ya mchezo ni zipi hizo shabik.maana mpira unaisha kwa filimbi ya mwisho ya mwamuzi.je ni timu gani iliendelea kucheza baada ya refa kumliza mpira na ikafungwa?Ninaombea Simba wanyukwe; ila hawatabiriki. Penalty zisizokuwa na maelezo, mabao ya offside na mabao ya dakika nje ya mchezo ni kati ya silaha walizo nazo Simba. Kwa hiyo nadhani Kagera wamekalia kuti kavu.
Wanacheza uchwara hamna lolote kama huyu middle wao anataka kugusa mpira mara kumi kumi. Anaishia poteza mpira tuu.Kagera wanacheza sana tough
Kuchanganyikiwa huko.Msamehe tu.Dakika nje ya mchezo ni zipi hizo shabik.maana mpira unaisha kwa filimbi ya mwisho ya mwamuzi.je ni timu gani iliendelea kucheza baada ya refa kumliza mpira na ikafungwa?
Niliuliza juzi kuna mchezaji anayemzidi Ngoma kwa usahihi wa pasi.Wako wapi waliokuwa wanasema ngoma hamna kitu.
Kila nikisema kwa viungo wa simba ngoma ana nafasi kuna watu walikuwa wanatamani kushika mpaka bunduki.. Huyu ndio ngoma, mido ya boli, ana akili ya mpira.
Kwa pasi za mita 15 hivi ni ana hatari.Niliuliza juzi kuna mchezaji anayemzidi Ngoma kwa usahihi wa pasi.
Watu wakanitajia jina la mchezaji wa ajabu ajabu kutoka timu ya wapi hata sijui eti Pacome ndio anayemzidi Ngoma.
Ngoma bado tunamuhitaji sana pale msimbazi, licha ya ups and down zake ila jamaa ana class ya kiwango cha juu sana.
Ninaombea Simba wanyukwe; ila hawatabiriki. Penalty zisizokuwa na maelezo, mabao ya offside na mabao ya dakika nje ya mchezo ni kati ya silaha walizo nazo Simba. Kwa hiyo nadhani Kagera wamekalia kuti kavu.
Kufungwa wanafungwa Kagera Sugar lakini utakuta majitu wa Uttopollo wamerundikana humu wametunisha vichwa na makalio wanatusumbua. Kudinywa anadinywa Kagera, Utto Jazz wanakata mauno.Mtanange mkali sana leo.
21/12/2024.
MCHEZO WA LIGI KUU TANZANIA BARA.
Uwanja : Kaitaba Stadium Kagera.
Mwenyeji : Kagera Sugar FC
Mgeni : Simba SC ya Dar Es Salaam
Muda : 10 jioni.
View attachment 3181655
KIKOSI.
View attachment 3181697
KIKOSI CHA SIMBA
View attachment 3181686