FT: Kagera Sugar FC 2-5 Simba SC | NBC Premier League | Kaitaba Stadium | 21 Dec 2024

FT: Kagera Sugar FC 2-5 Simba SC | NBC Premier League | Kaitaba Stadium | 21 Dec 2024

Kagera wajitahidi wa mzibiti refa tu uyo ndiye mchezaji hatari kwa Simba hii ya Sasa.

Wakiweza ku mzibiti refa, watapata Matokeo yoyote wanayo yataka.

Mfano: Simba Vs Azam (Makosa ya kibinadamu) Simba ilifaidika.

Pamba vs Simba (Makosa ya kibinadamu) Simba inafaidika

Dodoma JiJi vs Simba (Makosa ya kibinadamu) Simba inafaidika

Mashujaa vs Simba ( Makosa ya kibinadamu) Simba inafaidika.
n.k
Kagera wawe makini Sana.
redio Utopolo ikitangaza moja kwa moja kutoka jangwani
 
Back
Top Bottom