Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Mpanzu yupo vizuri Sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtu na nusuMpanzuuuuu dah!
Keshachoka huyo, mtafutieni mwingineMpanzu tunampa Wema sepetu
[emoji1787][emoji1787]Keshachoka huyo, mtafutieni mwingine
Bado mdaSimba hii ni ya moto sana
redio Utopolo ikitangaza moja kwa moja kutoka jangwaniKagera wajitahidi wa mzibiti refa tu uyo ndiye mchezaji hatari kwa Simba hii ya Sasa.
Wakiweza ku mzibiti refa, watapata Matokeo yoyote wanayo yataka.
Mfano: Simba Vs Azam (Makosa ya kibinadamu) Simba ilifaidika.
Pamba vs Simba (Makosa ya kibinadamu) Simba inafaidika
Dodoma JiJi vs Simba (Makosa ya kibinadamu) Simba inafaidika
Mashujaa vs Simba ( Makosa ya kibinadamu) Simba inafaidika.
n.k
Kagera wawe makini Sana.
Dua za vyura wa jangwaniKeshachoka huyo, mtafutieni mwingine
Hlo goli likwap au kumaliziana MB tuGoli la kapombe
View attachment 3181717
Alafu fadlu anamfanyia sub tunaanza kuzidiwa, kocha inabidi afanye sub baada ya goli kama tatu.Awesu anafanya tuone mpira easy Sana....
NakaziaAwesu anafanya tuone mpira easy Sana....