Siri yangu
JF-Expert Member
- Jul 22, 2023
- 1,426
- 2,845
unafungwa babuSIMBA❤❤❤🔨📌📌🔨💪🏿View attachment 3181354
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unafungwa babuSIMBA❤❤❤🔨📌📌🔨💪🏿View attachment 3181354
Mtoe nouma muweke mpanzu "football genius"Kikosi changu cha kuanza cha Simba na Kagera.
1. Kamala -spider man
2. Husein- shabalala
3. Kapombe-mpambanaji
4. Hamza-beki makini
5. Chamou-beki lenye nguvu
6. Kagoma-mkabaji mahili
7. Dr. Lucho Awesu Iniesta
8. Ngoma-mutu ya kazi
9. Ateba-mtupiaji
10. Mavambo Fernandez Xavi
11. Vallentino Nouma
(Kibu D. akae jukwaani kabisa apumzike)
huku kushoto Husein akipanda, Nouma anarudi kukaba kutakuwa kwa moto sana.
Dr. Lucho atakuwa anawalainisha huku kulia ili wajisahau amwage maji.
Kagera kwa Simba ni wagumu sana hasa wakiwa kwao hivyo wanatakiwa kuwekewa watu wa kazi ngumu tu.
Cc Matola.
Ww subiri kesho uswekwe Lupango!Wasiposhinda rwfa atapereka mpira mpaka dakika ya 100
Ikishindikana atatoa penati au red card
Ahoua atafunga kwa penati na watashangilia kama weh
Kikosi cha leo bila kumuanzisha mpanzu hatukitambui kabisaKikosi changu cha kuanza cha Simba na Kagera.
1. Kamala -spider man
2. Husein- shabalala
3. Kapombe-mpambanaji
4. Hamza-beki makini
5. Chamou-beki lenye nguvu
6. Kagoma-mkabaji mahili
7. Dr. Lucho Awesu Iniesta
8. Ngoma-mutu ya kazi
9. Ateba-mtupiaji
10. Mavambo Fernandez Xavi
11. Vallentino Nouma
(Kibu D. akae jukwaani kabisa apumzike)
huku kushoto Husein akipanda, Nouma anarudi kukaba kutakuwa kwa moto sana.
Dr. Lucho atakuwa anawalainisha huku kulia ili wajisahau amwage maji.
Kagera kwa Simba ni wagumu sana hasa wakiwa kwao hivyo wanatakiwa kuwekewa watu wa kazi ngumu tu.
Cc Matola.
Simba inapigwa mbili kwa mojaMtanange mkali sana leo.
21/12/2024.
MCHEZO WA LIGI KUU TANZANIA BARA.
Uwanja : Kaitaba Stadium Kagera.
Mwenyeji : Kagera Sugar FC
Mgeni : Simba SC ya Dar Es Salaam
Muda : 10 jioni.
View attachment 3181353
Kaitaba inanyesha mvua?Ila hii mvua ya leo inaweza kuufanya mchezo usiwe mzuri. Tuanze kujijenga kisaikolojia.
Tunajua refa atapeleka mechi ataongeza dakika 7 halafu mwishoni sana mpaka simba tupate goli ndiyo anamaliza boliMtanange mkali sana leo.
21/12/2024.
MCHEZO WA LIGI KUU TANZANIA BARA.
Uwanja : Kaitaba Stadium Kagera.
Mwenyeji : Kagera Sugar FC
Mgeni : Simba SC ya Dar Es Salaam
Muda : 10 jioni.
View attachment 3181353
Hizo dakika Kagera watakuwa wamekaa kwenye benchi hawachezi?Tunajua refa atapeleka mechi ataongeza dakika 7 halafu mwishoni sana mpaka simba tupate goli ndiyo anamaliza boli
Guvu moya
Mpanzu aingie kipindi cha pili amsabu Dr. Lucho Awesu.Kikosi cha leo bila kumuanzisha mpanzu hatukitambui kabisa
sijawahi kumwona mpanzu akicheza. ataingia kipindi cha pili kumsabu Awesu Dr.Mtoe nouma muweke mpanzu "football genius"
WaulizeHizo dakika Kagera watakuwa wamekaa kwenye benchi hawachezi?
Fadlu kasema mechi zipo nyingi na hapendi wachezaji wake wacheze mechi kwa dakika 90 kwa mechi 5 mfululizo.sijawahi kumwona mpanzu akicheza. ataingia kipindi cha pili kumsabu Awesu Dr.
Bado, ila uwezekano ni mkubwa maana wangu limetanda.Kaitaba inanyesha mvua?