FT: Kagera Sugar FC 2-5 Simba SC | NBC Premier League | Kaitaba Stadium | 21 Dec 2024

FT: Kagera Sugar FC 2-5 Simba SC | NBC Premier League | Kaitaba Stadium | 21 Dec 2024

Kikosi changu cha kuanza cha Simba na Kagera.

1. Kamala -spider man
2. Husein- shabalala
3. Kapombe-mpambanaji
4. Hamza-beki makini
5. Chamou-beki lenye nguvu
6. Kagoma-mkabaji mahili
7. Dr. Lucho Awesu Iniesta
8. Ngoma-mutu ya kazi
9. Ateba-mtupiaji
10. Mavambo Fernandez Xavi
11. Vallentino Nouma
(Kibu D. akae jukwaani kabisa apumzike)
huku kushoto Husein akipanda, Nouma anarudi kukaba kutakuwa kwa moto sana.
Dr. Lucho atakuwa anawalainisha huku kulia ili wajisahau amwage maji.
Kagera kwa Simba ni wagumu sana hasa wakiwa kwao hivyo wanatakiwa kuwekewa watu wa kazi ngumu tu.
Cc Matola.
Mtoe nouma muweke mpanzu "football genius"
 
Kikosi changu cha kuanza cha Simba na Kagera.

1. Kamala -spider man
2. Husein- shabalala
3. Kapombe-mpambanaji
4. Hamza-beki makini
5. Chamou-beki lenye nguvu
6. Kagoma-mkabaji mahili
7. Dr. Lucho Awesu Iniesta
8. Ngoma-mutu ya kazi
9. Ateba-mtupiaji
10. Mavambo Fernandez Xavi
11. Vallentino Nouma
(Kibu D. akae jukwaani kabisa apumzike)
huku kushoto Husein akipanda, Nouma anarudi kukaba kutakuwa kwa moto sana.
Dr. Lucho atakuwa anawalainisha huku kulia ili wajisahau amwage maji.
Kagera kwa Simba ni wagumu sana hasa wakiwa kwao hivyo wanatakiwa kuwekewa watu wa kazi ngumu tu.
Cc Matola.
Kikosi cha leo bila kumuanzisha mpanzu hatukitambui kabisa
 
Kagera wajitahidi wa mzibiti refa tu uyo ndiye mchezaji hatari kwa Simba hii ya Sasa.

Wakiweza ku mzibiti refa, watapata Matokeo yoyote wanayo yataka.

Mfano: Simba Vs Azam (Makosa ya kibinadamu) Simba ilifaidika.

Pamba vs Simba (Makosa ya kibinadamu) Simba inafaidika

Dodoma JiJi vs Simba (Makosa ya kibinadamu) Simba inafaidika

Mashujaa vs Simba ( Makosa ya kibinadamu) Simba inafaidika.
n.k
Kagera wawe makini Sana.
 
IMG-20241221-WA0002.jpg
 
Back
Top Bottom