Mkuu hii game bado, naamini Simba Sc hawatarudi kama kipindi cha kwanza.
Kocha amtoe rally bwalya.. amekatika kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hii game bado, naamini Simba Sc hawatarudi kama kipindi cha kwanza.
Tunaona Simba kapigwa 4-0Huku kwenye radar naiona simba ikishinda kwa goli moja...
Wenzako mnaona nini huko?
Corona fc vp tena huko?Ahahaha [emoji1][emoji1][emoji1] Wachambuzi takatakaa tutawafurahishaaa...suala la muda tuu
Ukisema hivyo kuna watu watakuja kumtetea kwa kusema Mugalu ni "Mshambuliaji mkabaji",ila kiuhalisia jamaa ni garasa haswa kwenye mechi kubwa za kimashindano.
Naona sasa presha imeshuka kidogo umeamua kurudi huku 😂😂Mbona kama uzi watu wamenuna sana?
hahaha atajiona warrior sanaSijui Shafie ana furaha ya aina gani huko aliko!
Timu yote itolewe tuKocha amtoe rally bwalya.. amekatika kabisa
Hayupo sasa,aliepo ni Mzamiru angalau japo na yeye hatabiriki.Morison ingekuwa poa zaidi
Tuna machungu na droo ya NamungoMbona kama uzi watu wamenuna sana?
Ukisema hivyo kuna watu watakuja kumtetea kwa kusema Mugalu ni "Mshambuliaji mkabaji",ila kiuhalisia jamaa ni garasa haswa kwenye mechi kubwa za kimashindano.Huyu Mugalu ni maku sana hana msaada kwa timu. Sijui wanabemendana na kocha
FIFA ndio wenye mpira wao ile kesi ikifika mezani kwao nachukua point 3 na TFF inakula fine.Kumbe mpira wenu mnauchezea FIFA siku hizi, ndio maana leo Namungo kawatoa ulimi nje.
Sio mbwa ni simbaapigaaaaaa umbwa haoooooo
Ukisema hivyo kuna watu watakuja kumtetea kwa kusema Mugalu ni "Mshambuliaji mkabaji",ila kiuhalisia jamaa ni garasa haswa kwenye mechi kubwa za kimashindano.Huyu Mugalu ni maku sana hana msaada kwa timu. Sijui wanabemendana na kocha
Nungemuweka Dilunga badala ya Mzamiru kama tunataka kushambulia zaidiHayupo sasa,aliepo ni Mzamiru angalau japo na yeye hatabiriki.
Ni ukweli. Leo kuna dalidali za vile vipigo vya G, doesn't 3,4,or 5Mshaanza[emoji23][emoji23][emoji23]
Hawa Kaizer chief hawa siyo Jkt TanzaniaTuna machungu na droo ya Namungo
Liability huyu hana maana kbsUkisema hivyo kuna watu watakuja kumtetea kwa kusema Mugalu ni "Mshambuliaji mkabaji",ila kiuhalisia jamaa ni garasa haswa kwenye mechi kubwa za kimashindano.
Kaka huyu si mnasifiaga anajua kukaa na mipira leo hii garasa.....daaah sio fuleeeeeeshiiiii kabisa 😀😀Ukisema hivyo kuna watu watakuja kumtetea kwa kusema Mugalu ni "Mshambuliaji mkabaji",ila kiuhalisia jamaa ni garasa haswa kwenye mechi kubwa za kimashindano.
G7 au?🤣🤣🤣Ni ukweli. Leo kuna dalidali za vile vipigo vya G, doesn't 3,4,or 5