Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utasikia watu wanasema ni Mshambuliaji mkabaji, ila jamaa ni garasa sana.Huwa nasema sana kuhusu Mgaru ila nashambuliwa sana.Ngoja atoke uone magori ya mvua.
Hiyo siyo kazi yako,utakuwa shabiki wa Yanga ya Kasulu hukoIla wanayanga wenzangu tunapofurahia wenzetu kufungwa!
Tujiangalie na sisi tupoje
Kikosi chetu kingekua hapo ingekuaje
Tunayomengi yakutuumiza kuliko kufurahia kidogo kinachopita[emoji848]
We mtoto hivi una habari tunacheza na Kaizer sio Utopolo?Kaka huyu si mnasifiaga anajua kukaa na mipira leo hii garasa.....daaah sio fuleeeeeeshiiiii kabisa [emoji3][emoji3]
Hivi wametokaje leo?Kumbe mpira wenu mnauchezea FIFA siku hizi, ndio maana leo Namungo kawatoa ulimi nje.
Ninayo na matokeo nayaona hapa,mimi mzalendo nipo na nyinyi mpaka mwisho mtani.We mtoto hivi una habari tunacheza na Kaizer sio Utopolo?
Ni ukosefu wa match fitness na sharpness iliyosababishwa na kutocheza mchezo wowote wa kiushindani ndani ya wiki 2.
Tumepoteza ile momentum nzuri tuliyokuwa nayo baada ya kushinda mechi 3 ndani ya siku 7 huko kanda ya ziwa.
Wachezaji wako slow hadi kiakili wanachelewa kureact kwenye kila kitu.
Hiyo siyo kazi yako,utakuwa shabiki wa Yanga ya Kasulu huko
Wakati ukutaTunaona Simba kapigwa 4-0
Hawa watakuja kuwafunga na hapa nyumbani .Hii mechi tunashinda tulieni tulieni mpira dakika 90.