FT: Kaizer Chiefs 4-0 Simba SC | Klabu Bingwa Afrika CAFCL | FNB Stadium

FT: Kaizer Chiefs 4-0 Simba SC | Klabu Bingwa Afrika CAFCL | FNB Stadium

Ila wanayanga wenzangu tunapofurahia wenzetu kufungwa!
Tujiangalie na sisi tupoje
Kikosi chetu kingekua hapo ingekuaje
Tunayomengi yakutuumiza kuliko kufurahia kidogo kinachopita[emoji848]
 
Ila wanayanga wenzangu tunapofurahia wenzetu kufungwa!
Tujiangalie na sisi tupoje
Kikosi chetu kingekua hapo ingekuaje
Tunayomengi yakutuumiza kuliko kufurahia kidogo kinachopita[emoji848]
Hiyo siyo kazi yako,utakuwa shabiki wa Yanga ya Kasulu huko
 
Hii mechi tunashinda tulieni tulieni mpira dakika 90.
 
Akili za kiutopolo ..myaani kwako umelala.njaa,ukiona jirani naye kalala njaa unasyangilia!!
 
Ni ukosefu wa match fitness na sharpness iliyosababishwa na kutocheza mchezo wowote wa kiushindani ndani ya wiki 2.

Tumepoteza ile momentum nzuri tuliyokuwa nayo baada ya kushinda mechi 3 ndani ya siku 7 huko kanda ya ziwa.

Wachezaji wako slow hadi kiakili wanachelewa kureact kwenye kila kitu.

Kweli
 
Nimepewa hela na Dingi nikalipe bili ya maji nikatandaza mkeka kwa Simba,sasa yule mzee namwambia lugha gani anielewe?,ni Brigedia mstaafu wa jeshi na leo asubuhi alikua akiifuta futa vumbi bastola yake,,,!!
 
Back
Top Bottom