FT: Kaizer Chiefs FC 0- 4 Young African SC | Toyota Cup | Free State Stadium, Bloemfontein | 28.07.2024

Simba haijacheza mechi ya ushindani tukaiona, Ingecheza tungejua kama hiyo tarehe 8 ni balaa linakuja au Batiki watatafutana, na kama ni balaa linakuja kwa ukubwa gani.
Watu wanafanya mabonanza Souz ila midomo yao,
kila saa! Simba Simba kila mtu ashinde mechi zake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…