princess ariana
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 9,245
- 18,347
Unadhani wao hawaogopi😆😆😆 wanaogopa ndo mana umeona Rhulan wamemwachia wydadNa watapigwa kweli.
Nina usongo sana na Mamelodi Sundowns
Maana mwaka Jana hatukaumalizana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unadhani wao hawaogopi😆😆😆 wanaogopa ndo mana umeona Rhulan wamemwachia wydadNa watapigwa kweli.
Nina usongo sana na Mamelodi Sundowns
Maana mwaka Jana hatukaumalizana
Hahaha.Kwa mpira upi mnaoucheza? Nyie jidanganyeni siku hiyo mtatoka nduki na vitenge vyenu
Ipo huko juuLeteni link basi
Sasa hivi umemuacha Guede jitu la mtumba umehamia kwa Pacome Bleach Dad?Pacomee akee
Simba watakwambia gsm katembeza bahasha namungo fc had SAWenyewe wanakwambia Yanga ni timu inayokuja kwa kasi sana
Kwahiyo kwa huku kusini ambako utwala ni wa Mamelodi sundown wanaona Yanga imekuja kumletea Mamelodi upinzani mkubwa ambao wao kwa sasa ni kama wameushindwa...
Sisemei kashabiki ila nmewafatilia sana wa SA kiasi hata ligi wanaiona NBC ni kubwa kuliko PSL
Na jana wamewacheka kaizer nakuwaambia watapigwa 5 -1 kama walivyopigwa na Mamelodi na kama Yanga ilivyowapiga Simba wakasema Fadlu hana mda anarudishwa verysoon..
Hauna haja ya kutabiri, just nenda tu kwenye ligi yao uangalie misimu mitano iliyopita, utaijua Kaizer Chiefs ikoje.
Siwezi kumuacha Guede katuSasa hivi umemuacha Guede jitu la mtumba umehamia kwa Pacome Bleach Dad?
Leteni link basi
MamaaaeeeeeUnadhani wao hawaogopi😆😆😆 wanaogopa ndo mana umeona Rhulan wamemwachia wydad
Umehamia huku lini ?Tell them we're Young Africans. The club above all
Kakojoe ulale huu uzi haukufaiiiiiiiiHauna haja ya kutabiri, just nenda tu kwenye ligi yao uangalie misimu mitano iliyopita, utaijua Kaizer Chiefs ikoje.
Kaizer chiefs hii utaifananisha na ile ya kina samir nurkovic?Simba watakwambia gsm katembeza bahasha namungo fc had SA
Umehamia huku lini ?
Kaka hii Yanga sio ya kuisemea haya. Mimi Yanga ikiwa unga mwana huwa nasema mbona. Simba kumfunga Yanga ni mambo ya mpira. Mpira unadunda ila hii Yanga ni kisanga tukiweka ushabiki pembeni.Kwa mpira upi mnaoucheza? Nyie jidanganyeni siku hiyo mtatoka nduki na vitenge vyenu