Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Leo nadili nao mmoja mmoja Hawa ni ndugu zangu mtaa mmoja kariakooUsicomment tena! Waachie wengine nafasi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo nadili nao mmoja mmoja Hawa ni ndugu zangu mtaa mmoja kariakooUsicomment tena! Waachie wengine nafasi
Mpe Yanga SCnipeni ubahiri wenu, nataka kuifata hii mechi kwa 25K
Weka akiba ya maneno mkuu, vibabu vyenu vikianza kupimwa umri usije kusema watu ni wabaya🤣🤣🤣Mpe Yanga SC
Baadae usikimbie kaka Cc ephen_Weka akiba ya maneno mkuu, vibabu vyenu vikianza kupimwa umri usije kusema watu ni wabaya🤣🤣🤣
Linaenda kufa jituMATCH DAY
View attachment 3054488
⚽ Kaizer Chiefs FC Vs Young African SC . 🏆 Toyota Cup.
🏟️ Free State Stadium, Bloemfontein.
⏰ 1600hrs East African Time.
AahaaaaView attachment 3054498
Tulia ndugu mwana wa tatu kwenye ligi kuu unakunywa kinywaji Gani shirikisho Cc ephen_
Ila kwenye Jezi uzalendo umenishinda, inabidi Yanga wafanye vizuri sana hadi nianze kuziona jezi ni nzuriMapema tuu kwenye Dstv yangu na Uzi wangu mpyaaaa black pembeni nikiwa na ngano ya Kijerumani. Dstv wapo live sio ule utopolo wa Azam.
😂😂matangazo yenyew yanabadirika rangi tuuKila la kheri chama langu kutoka kusini mwa jangwa la Sahara timu pendwa💚💚💚 sisi sio ubwela SC
Comasava Yanga SC 💚💚💚💚💚 ushindi wa bao za kutosha hapo baadae Cc ephen_
Kuna timu kila msimu jezi zake huwa ni zile zile tofauti ni kola au matangazo ya tajiri tuu.
Katika suala la Yanga sitaki masikhara kabisa View attachment 3054489
Tar 8 mtuchagulie jeziTusubiri tuone kama timu itavalishwa vitenge vya kijani blue nyeusi, njano nyeusi au nyeusi nyeupe.