Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 23,566
- 24,891
Yupo mbadala wake, BalekeHii mechi ilimuhitaji sana mchumba angu Guede😣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yupo mbadala wake, BalekeHii mechi ilimuhitaji sana mchumba angu Guede😣
Ndo huyu eti alitaka kuja kwa wananchiRanga chivaviro ndio huyu.
Baleke 10 ni sawa na Guede 1Yupo mbadala wake, Baleke
Sifa ndo zinawasumbuaAaah...! Sasa wanakimbilia nini kufungua niuz za wanaume? Si aende kuzindua magauni huko mikumi
Aliyeanza kufungua uzi ni kiwatengu ila wakamuonganishia kwa huyo koloSifa ndo zinawasumbua
Hiyo ni Team daraja C kwa ligi iliyopita,Wamecheza mechi 30 wakavuna point 36.Nafasi ya 10 msimamo wa ligiYanga ni kama wanacheza na kitayose tu hapa mi naona.
Mtandao umeboreshwa lakini hata hivyo watu wanatumia simujanja expensiveWatu mko sharp sana, yaani namaliza kupost tu nakuta Like ya hiyo hiyo post
😂😂😂 ephen_ upo sharp sanaWatu mko sharp sana, yaani namaliza kupost tu nakuta Like ya hiyo hiyo post
Next time tuanzishe maandamanon humu Jf kama Gen Z wa kenyaAliyeanza kufungua uzi ni kiwatengu ila wakamuonganishia kwa huyo kolo
Mods wanazingua
Nipo live kwa udhamini wa bundle la Lucas Mwashambwa😂😂😂 ephen_ uposharp sana
Unampendea nini?Langa chivavilo
Huyu jamaa hua nnampenda saana
Kila mtu afungue uzi wa timu anayoishabikiaNext time tuanzishe maandamanon humu Jf kama Gen Z wa kenya
Huyo jamaa nafikiri ni moja ya AdminAliyeanza kufungua uzi ni kiwatengu ila wakamuonganishia kwa huyo kolo
Mods wanazingua