Zouzoutz
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 1,883
- 2,732
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Subiri tarehe 8Nabi ameuza mechi.
Dah! Naona maumivu ndiyo yameanza tayari. Hapa ni mpaka mwisho wa msimu bila shaka! Yaani ni mateso tu na maumivu, kwa kwenda mbele.Baadae wadau.
Endeleeni kufurahia Bonanza!
Am out
Hamna kitu hapa hawa yanga wamekutana na kitayose ya sauzi isikutishe.simba tujipange kisiasa
Bila nguvu za mababu hapa hatutoboi😂😂
Tofokasi na nguvu za giza
Msipeleke timu uwanjani tarehe 8Dah! Naona maumivu ndiyo yameanza tayari. Hapa ni mpaka mwisho wa msimu bila shaka! Yaani ni mateso tu na maumivu, kwa kwenda mbele.
Tarehe 8 siyo mbaliyangamavi ni mammbwa tu! injinia sjui atakua ametoa mlungula wa kias gan ili washinde [emoji706]
Naunga mkono hojaKi kachezewa rafu, kocha angempumzisha tu, hana watoto anaotaka kuona vipaji?
Itakuwa vizur mkifanya hivyo maana mtaaibakaTarehe 8 ni siku ya wakulima hatuleti timu thithi thimba si wakulima
Wanaishangilia YangaWasauzi wanshangilia na huku wamekufa 4