CIA mgumu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2022
- 962
- 1,934
Nawe ni shabiki wa timu gani😁😁😁Huyu mzee anapoteza pesa bure, timu haikuwa hata kidogo sijui tatizo ni kocha au nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nawe ni shabiki wa timu gani😁😁😁Huyu mzee anapoteza pesa bure, timu haikuwa hata kidogo sijui tatizo ni kocha au nini?
Malengo ya yanga na Mayele ni kuifunga simba tu.na ikitokea mayele kakukojolea tena itakuaje,nawaza tu
Uzee mbaya sana, umekuwa kama punga
Unaanza ukorofi we mzee😁Nawe ni shabiki wa timu gani😁😁😁
Mtopolo umevurugwa na kipigo cha mwarabu tunakupuuza tu.Timu kubwa huwa haifungwi mkuu??
Sina ukorofi hata mkuu, ila nimeuliza tu ngoja nikale ngisi Buguruni kwanza🤣🤣🤣Unaanza ukorofi we mzee😁
Acha UJINGA WEWE. Vilabu vyote Africa vinapangwa kwa wingi wa points zake. HEBU SEMA YANGA NI YA NGAP? Je ina points ngap?Timu kubwa zoote zinatambulika Kwa Mataji, Yanga Wana Mataji 28 ya ligi kuu ao Simba ukubwa wanautoa wapi? Wakubwa hawawezikua wawili Mkubwa ni Yanga tu wengine wanatoa Changamoto Kwa Yanga.
Una matatizo wewe kijana.Sina ukorofi hata mkuu, ila nimeuliza ngoja nilale ngisi Buguruni kwanza🤣🤣🤣
Una matatizo wewe kijana.
Alafu ahadi zako hitimizi😂
Atakuwa Mpogoro au Mngoni huyuAndika vizuri kaka
Fafanuakinachotesa azam udini
Mayele msimu uliopita alifunga goli 16 ina maana zote alimfunga kolo?Malengo ya yanga na Mayele ni kuifunga simba tu.
Wakitoka hapo hawana tofauti na mwenge ambao unamlika ndani huko vijijini n.k.
Kamwe mwenge hauwezi mlika nje ya Nchi
Kumbe hujui maana ya rank, kwaheri.Sasa na umbumbumbu wako rank ni kikombe!! Hii Nchi Ina watu wa Ajabu sana!! Kama huna kikombe chochote Cha Caf rank inabaki kama namba tu, Trophy ndio Zina Justifie Ukubwa.
Mpeni mwalimu muda,huyu mwalimu ana dalili ya uzuriSijaelewa tatizo hasa la Azam FC kufanya vibaya linasababishwa na nini licha ya uwekezaji mkubwa uliopo klabuni?
Wangejaribu kuajiri Ma Consultant wa Mpira kutoka Nchi zilizoendelea walau kuja na Implementations plan za uendeshaji wa Timu nje na ndani ya Uwanja ambao utaendana na Uwekezaji wa Klabu