FT: KMC 2-1 Azam, Samaleko Azam FC

FT: KMC 2-1 Azam, Samaleko Azam FC

Sijaelewa tatizo hasa la Azam FC kufanya vibaya linasababishwa na nini licha ya uwekezaji mkubwa uliopo klabuni?

Wangejaribu kuajiri Ma Consultant wa Mpira kutoka Nchi zilizoendelea walau kuja na Implementations plan za uendeshaji wa Timu nje na ndani ya Uwanja ambao utaendana na Uwekezaji wa Klabu
Hawana backbone ya local players ambao wanaviwango vikubwa na viongozi.

Azam iliyotwaa ubingwa pamoja na kuwa na wachezaji wengi wa kigeni lakini ilikuwa na backbone ya wachezaji mahiri saba ambao ni local players.

Na wachezaji hao wote waliondoka kwenda kwenye vilabu vingine na wengine kushuka viwango.
 
Kwa
Timu kubwa zoote zinatambulika Kwa Mataji, Yanga Wana Mataji 28 ya ligi kuu ao Simba ukubwa wanautoa wapi? Wakubwa hawawezikua wawili Mkubwa ni Yanga tu wengine wanatoa Changamoto Kwa Yanga.
Hiyo timu kubwa inatambulika kwa mataji ya Ligi kuu peke yake? Kwa taarifa yako kwa idadi ya mataji Simba anamuacha Uto mbali sana sana. Utopolo mmekuwa mkijificha kwenye kivuli cha kutwaa makombe mengi ya ligi kuu kama vile ndio mashindano pekee timu hizo zimeshiriki.
 
Timu kubwa zoote zinatambulika Kwa Mataji, Yanga Wana Mataji 28 ya ligi kuu ao Simba ukubwa wanautoa wapi? Wakubwa hawawezikua wawili Mkubwa ni Yanga tu wengine wanatoa Changamoto Kwa Yanga.
Ukweli mchungu huu! Hata Real Madrid, Barcelina, Bayerni Munich, nk. Hujivunia kwa wingi wa makombe!

Na siyo kwa kufika robo fainali UEFA Championships
 
Mpira umeisha hapa uwanja wa Uhuru, Azam kalala 2-1 dhidi ya KMC.

Azam ni timu ya kawaida sana, inakuzwa sana na vyombo vya habari kutaka kuonyesha nchi hii kuna timu kubwa 3. Timu kubwa inayotambulika kitakwimu ni moja tu, nayo ni mnyama Simba SC.
Umesahau hao KMC waliwatoa jasho mpka mka anza kuimba Matola aondoke
 
Sijaelewa tatizo hasa la Azam FC kufanya vibaya linasababishwa na nini licha ya uwekezaji mkubwa uliopo klabuni?

Wangejaribu kuajiri Ma Consultant wa Mpira kutoka Nchi zilizoendelea walau kuja na Implementations plan za uendeshaji wa Timu nje na ndani ya Uwanja ambao utaendana na Uwekezaji wa Klabu
Uswahili umejaa kwenye Management.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom