FT: KMC 2 - 2 Simba SC | NBC Premier League | Azam Complex Stadium | 23.12.2023

Timu unamtegemea kibu kama straika.,..misimu 2.
Kocha amekuta sub ni aina ya jimmyson mwanduke,. MICQUISON,( mzee wa turn around)

Sasa hana options

ROBERTINO kasema wachezaji ni wangapi SIMBA?
 
Eish. Kumbe mmedraw? Kuna kenge alinipa matokeo 2 kwa 1 nikajua mlishinda.

benchika benchika. Itakua ben choka, shenzi kabisa. Acheni tuwaonyeshe sasa Nini maana ya kuwa serious na ubingwa.
 
 
Team inakosa hata mvuto wa kuitazama, mie kwa mwaka huu nilishaacha kufuatilia ktk league,

Huwa natazama za kimataifa, popote tutakapoishia bas na mie naacha kufuatilia team had mwakani.

Team yenye malengo makubwa, haiwezi kuwa na babu bokoo, au mzee ntibanzokiza, km c uchuro nn?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na badoo Azam anawasubiri kwa hamu, atawakanda had mkandikee tenaaa.

Pumbaaaaavuuuuuuu.
 
Usisahau kunywa maji mengi Mtani. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mtani hata sikuelewi ujue. 🀣🀣🀣 juzi mmeshinda mbili kule CCL hata hukulalamika mbona.

Ila nimecheka eti Babu boko . Lol. πŸ˜‚πŸ˜‚ leo hiii. πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hongera 🦁 uliyevimba mashavu 🀣
 
Mtani hata sikuelewi ujue. [emoji1787][emoji1787][emoji1787] juzi mmeshinda mbili kule CCL hata hukulalamika mbona.

Ila nimecheka eti Babu boko . Lol. [emoji23][emoji23] leo hiii. [emoji23][emoji23]
Kwani mtani hujaona maelezo, focus yangu kwa team ni kimataifa, huku kwa league mbna nlishakuambiaga tukutane mwakani.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwani mtani hujaona maelezo, focus yangu kwa team ni kimataifa, huku kwa league mbna nlishakuambiaga tukutane mwakani.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mtani hivyo timu yako ikiwa kule Kimataifa kina Babu Boko na Mzee Ntibazonkiza hawana shida kabisa ila ukija Premier League ndo hawafai? 🀣🀣

Si ndio. πŸ€Έβ€β™€οΈπŸ€Έβ€β™€οΈπŸ€Έβ€β™€οΈπŸ€Έβ€β™€οΈ
 
Saido anafunga au hauoni?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…