ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Unazungumzia Belouizdad iliyogeuka mfupa mgumu kwa Al Ahly? Au ipi hiyo?na belouizdad je ?
Labda kmc sio kwa pira la Benchika pira gumu kama chuma[emoji460]️ litatembea
tarehe 5/11/2023 5imbana belouizdad je ?
CCM haina timu nani kakuambia?Watanzania hatuna akili.
Yaani CCM haina timu hata moja ya mpira wa Miguu lakini ina viwanja (ilivyopora) lukuki nchi nzima, ila timu ndiyo hazina Viwanja.