FT: KMC 2 - 2 Simba SC | NBC Premier League | Azam Complex Stadium | 23.12.2023

FT: KMC 2 - 2 Simba SC | NBC Premier League | Azam Complex Stadium | 23.12.2023

Wanaomfitini Chama ni Viongozi wa Simba wanao lipwa na Yanga.

Chama kafanya makubwa Sana Simba.
Mvunjieni Mkataba wake aende Yanga.
Hizi ni mbinu za Yanga kumchukua Chama na Saidi alishasema kwenye mahojiano, kumbukumbu zipo.

Leo mnadhihaki Chama na kumthamini Anana kweli ?

Huyo Anana kafanya nini Simba ?
Hizo goli Mbili za ndondokela.

Chama hana nidhamu wakati ni mlokole.
Hanywi pombe havuti Sigara, hatongozi.
 
Team inakosa hata mvuto wa kuitazama, mie kwa mwaka huu nilishaacha kufuatilia ktk league,

Huwa natazama za kimataifa, popote tutakapoishia bas na mie naacha kufuatilia team had mwakani.

Team yenye malengo makubwa, haiwezi kuwa na babu bokoo, au mzee ntibanzokiza, km c uchuro nn?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na badoo Azam anawasubiri kwa hamu, atawakanda had mkandikee tenaaa.

Pumbaaaaavuuuuuuu.
Hifadhi maneno......
 
Mtani hivyo timu yako ikiwa kule Kimataifa kina Babu Boko na Mzee Ntibazonkiza hawana shida kabisa ila ukija Premier League ndo hawafai? [emoji1787][emoji1787]

Si ndio. [emoji2222][emoji2222][emoji2222][emoji2222]
Mtanii hutaki kuelewa au unafanya makusudii ili niendelee kusema? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kimataifa popote tutakapoishia, na mie naishia hapo ku focus na team, hapo had mwakaniii

Usipo elewa hapa, unatafuta jipyaa sasa.
 
Kabeeesaa. [emoji23][emoji23]

Ila nakuelewa sana Mtani. Huwa zinaboaga sana hizi timu sometimes.
Li team langu limezidi sasa, khaaah
Yaan utadhani imepanda daraja league kuu msimu huu.
Inakeraaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Team inakosa hata mvuto wa kuitazama, mie kwa mwaka huu nilishaacha kufuatilia ktk league,

Huwa natazama za kimataifa, popote tutakapoishia bas na mie naacha kufuatilia team had mwakani.

Team yenye malengo makubwa, haiwezi kuwa na babu bokoo, au mzee ntibanzokiza, km c uchuro nn?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na badoo Azam anawasubiri kwa hamu, atawakanda had mkandikee tenaaa.

Pumbaaaaavuuuuuuu.
Wanakwambia babu bokoo lazima abaki kwenye timu maana ana busara sana 🤣😂🤣 hii simba mamaee walahi
 
Tujikumbushe Mambo ya Babu Boko hayo. Hizi ni highlights za game ya jana na namna Boko alivyokuwa anagusa mipira.
 
Mtanii hutaki kuelewa au unafanya makusudii ili niendelee kusema? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kimataifa popote tutakapoishia, na mie naishia hapo ku focus na team, hapo had mwakaniii

Usipo elewa hapa, unatafuta jipyaa sasa.
Relaaaax Mtani. 🤣🤣

Kukweli bado sijaelewa hata. 🤣.🤸‍♀️
 
Back
Top Bottom