FT: KMC 2 - 2 Simba SC | NBC Premier League | Azam Complex Stadium | 23.12.2023

FT: KMC 2 - 2 Simba SC | NBC Premier League | Azam Complex Stadium | 23.12.2023

Hebu peleka ujinga wako chooni!, Yaani mzinze apate msonda ijekuwa chama akose?. Chama kwenye kikosi Cha yanga anaingia moja kwa moja na impact yake ni balaa.... Hebu jiulize kidogo. Uwe na pacome, chama,Aziz na max 🤩🤩🤩 hiyo timu kucheza Kono kawaida
Labda Yanga Queens na lini Chama akacheza namba tisa, Yanga Queens kweli hawana mchezaji kama Chama.
 
Team inakosa hata mvuto wa kuitazama, mie kwa mwaka huu nilishaacha kufuatilia ktk league,

Huwa natazama za kimataifa, popote tutakapoishia bas na mie naacha kufuatilia team had mwakani.

Team yenye malengo makubwa, haiwezi kuwa na babu bokoo, au mzee ntibanzokiza, km c uchuro nn?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na badoo Azam anawasubiri kwa hamu, atawakanda had mkandikee tenaaa.

Pumbaaaaavuuuuuuu.
Mikando fc 😂
 
Labda Yanga Queens na lini Chama akacheza namba tisa, Yanga Queens kweli hawana mchezaji kama Chama.
Hujui mpira... Acha mahaba weka uhalisia... Chama kwa yanga yetu hakosi namba na anaingia mazima kikosini...!
 
Hebu peleka ujinga wako chooni!, Yaani mzinze apate msonda ijekuwa chama akose?. Chama kwenye kikosi Cha yanga anaingia moja kwa moja na impact yake ni balaa.... Hebu jiulize kidogo. Uwe na pacome, chama,Aziz na max [emoji2956][emoji2956][emoji2956] hiyo timu kucheza Kono kawaida
Yaani wewe ndo umeongea upuuzi kabisa, sasa namba wanayocheza Musonda na Mzize ndo namba anayocheza Chama?
 
HAKUNA anayempisha, chama anatokea kulia, Azizi anatokea kushoto wakati huo pacome anacheza 10 max 7
Jifunze kukaa kimya mkuu. Unapojibiwa kwa fact jaribu kuelewa na sio kushikilia misimamo uonekane upo sahihi, wanaume hatupo hivyo mkuu.
 
HAKUNA anayempisha, chama anatokea kulia, Azizi anatokea kushoto wakati huo pacome anacheza 10 max 7
Ile kasi ya Yanga, Chama ataiwezs? Sio kusema tu atatokea wapi bali pia tuangalie na aina ya mpira wa Yanga chini ya Gamondi.
 
Team inakosa hata mvuto wa kuitazama, mie kwa mwaka huu nilishaacha kufuatilia ktk league,

Huwa natazama za kimataifa, popote tutakapoishia bas na mie naacha kufuatilia team had mwakani.

Team yenye malengo makubwa, haiwezi kuwa na babu bokoo, au mzee ntibanzokiza, km c uchuro nn?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na badoo Azam anawasubiri kwa hamu, atawakanda had mkandikee tenaaa.

Pumbaaaaavuuuuuuu.
Punguza Jazba mamii!!!
 
Ile kasi ya Yanga, Chama ataiwezs? Sio kusema tu atatokea wapi bali pia tuangalie na aina ya mpira wa Yanga chini ya Gamondi.
Chama anacheza na HAKUNA kasi Wala nini!. Kwahiyo miaka 4 ya ubingwa wa Simba alikuwa hachezi kwa kasi?.
 
Back
Top Bottom