Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda Yanga Queens na lini Chama akacheza namba tisa, Yanga Queens kweli hawana mchezaji kama Chama.Hebu peleka ujinga wako chooni!, Yaani mzinze apate msonda ijekuwa chama akose?. Chama kwenye kikosi Cha yanga anaingia moja kwa moja na impact yake ni balaa.... Hebu jiulize kidogo. Uwe na pacome, chama,Aziz na max 🤩🤩🤩 hiyo timu kucheza Kono kawaida
Mikando fc 😂Team inakosa hata mvuto wa kuitazama, mie kwa mwaka huu nilishaacha kufuatilia ktk league,
Huwa natazama za kimataifa, popote tutakapoishia bas na mie naacha kufuatilia team had mwakani.
Team yenye malengo makubwa, haiwezi kuwa na babu bokoo, au mzee ntibanzokiza, km c uchuro nn?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na badoo Azam anawasubiri kwa hamu, atawakanda had mkandikee tenaaa.
Pumbaaaaavuuuuuuu.
Umecheka nini?Nimecheka sana mkuu
nani ana kaba hapo?HAKUNA anayempisha, chama anatokea kulia, Azizi anatokea kushoto wakati huo pacome anacheza 10 max 7
Kwahiyo timu itakuwa yakukaba tu?, Acha kukariri sio kila timu itataka lukaba nyakati zote.... Ukishakab utafunga?nani ana kaba hapo?
Hujui mpira... Acha mahaba weka uhalisia... Chama kwa yanga yetu hakosi namba na anaingia mazima kikosini...!Labda Yanga Queens na lini Chama akacheza namba tisa, Yanga Queens kweli hawana mchezaji kama Chama.
Yanga Queens anaingia mazima.Hujui mpira... Acha mahaba weka uhalisia... Chama kwa yanga yetu hakosi namba na anaingia mazima kikosini...!
Yaani wewe ndo umeongea upuuzi kabisa, sasa namba wanayocheza Musonda na Mzize ndo namba anayocheza Chama?Hebu peleka ujinga wako chooni!, Yaani mzinze apate msonda ijekuwa chama akose?. Chama kwenye kikosi Cha yanga anaingia moja kwa moja na impact yake ni balaa.... Hebu jiulize kidogo. Uwe na pacome, chama,Aziz na max [emoji2956][emoji2956][emoji2956] hiyo timu kucheza Kono kawaida
Jifunze kukaa kimya mkuu. Unapojibiwa kwa fact jaribu kuelewa na sio kushikilia misimamo uonekane upo sahihi, wanaume hatupo hivyo mkuu.HAKUNA anayempisha, chama anatokea kulia, Azizi anatokea kushoto wakati huo pacome anacheza 10 max 7
Sijui kama atakuelewa.Kati ya Aziz K, Pacome na Max nani ampishe Chama? Clement na Musonda wanacheza number tofauti nae
Sikutegemea JF sports ingekuwa na mtu kilaza kama jamaa apo, yaani Chama akacheze 9 Yanga? Jamaa kweli mahaba yamezidi.Labda Yanga Queens na lini Chama akacheza namba tisa, Yanga Queens kweli hawana mchezaji kama Chama.
Wewe unastahili kupuuzwa, huyu mtu apuuzwe tu jamani.Hujui mpira... Acha mahaba weka uhalisia... Chama kwa yanga yetu hakosi namba na anaingia mazima kikosini...!
Ile kasi ya Yanga, Chama ataiwezs? Sio kusema tu atatokea wapi bali pia tuangalie na aina ya mpira wa Yanga chini ya Gamondi.HAKUNA anayempisha, chama anatokea kulia, Azizi anatokea kushoto wakati huo pacome anacheza 10 max 7
5imba nguvu moyaa🤣🤣TIMU MBOVU ZILIKULA MKONO LEO ZIMETOKA SULUHU
Punguza Jazba mamii!!!Team inakosa hata mvuto wa kuitazama, mie kwa mwaka huu nilishaacha kufuatilia ktk league,
Huwa natazama za kimataifa, popote tutakapoishia bas na mie naacha kufuatilia team had mwakani.
Team yenye malengo makubwa, haiwezi kuwa na babu bokoo, au mzee ntibanzokiza, km c uchuro nn?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na badoo Azam anawasubiri kwa hamu, atawakanda had mkandikee tenaaa.
Pumbaaaaavuuuuuuu.
Chama anacheza na HAKUNA kasi Wala nini!. Kwahiyo miaka 4 ya ubingwa wa Simba alikuwa hachezi kwa kasi?.Ile kasi ya Yanga, Chama ataiwezs? Sio kusema tu atatokea wapi bali pia tuangalie na aina ya mpira wa Yanga chini ya Gamondi.
Ushabiki maandazi...Wewe unastahili kupuuzwa, huyu mtu apuuzwe tu jamani.
Hakuna kocha anaweza kupanga timu ya hivyoKwahiyo timu itakuwa yakukaba tu?, Acha kukariri sio kila timu itataka lukaba nyakati zote.... Ukishakab utafunga?
Azizi key ana Kasi gani yakumzidi chama?.Hakuna kocha anaweza kupanga timu ya hivyo