Sio kwamba wanapenda bali wanalazimishwa kucheza hivyo mkuu, we unaona Kuna winga Morrison kushoto kulia Luis kati chama na Bwalya juu yao yuko Bocco Sasa hapo wataanzaje kufunguka au unataka wapigwe 5 huna huruma mzee!!Hawa Dodoma wana timu nzuri tu ya kucheza mpira, nimeshangaa sana wamekuja kupaki basi dkk 90.
Nilitegemea watatupa game ngumu
Maaa!View attachment 1798606
huyu dada mtangazaji mhaya nini?
kagere atapewa benchi, labda arudi uchebeIngiza chikwende,Kagere na Mkude
Safi Wakuusubs ... bocco out kagere ndani
sema ili lijmaaa lina akili sana ya mpira70' Morrisooooooon Offside....!
Simba SC 2-0 Dodoma Jiji FC
π π π π πMorrison ni mzuri kwa kudanganya marefa Ila akigundua refa adanganyiki aendelei kufanya upuuzi.