Nilianza usiku wa jana mkuuMkuu we kaa kilingeni kabisa leo hawa watoto wasije kutuadhiri. Maana uto wameshinda nashangaa hawashangilii ila wakisikia tumedundwa ndo wataanza kushangilia ushindi wao wa jana.
itakua ni mara ya ngapi utabiri wako kwenda chaka?Simba leo anafungwa
Mara ya kwanzaitakua ni mara ya ngapi utabiri wako kwenda chaka?
Tupe matokeo roho zetu zitulie
wewe ni utopolo tuMara ya kwanza
Ni kweli kuna miaka alikutana na kina Mashujaa na Grini Woriaz! Zilikuwa njia ngumu sana! Kila la chama langu Azam FcSimba SC kama kawaida huwa wanapitishwa njia ngumu sana kwenye haya mashindano, lazima wakutane na vigingi vya kweli wavisogeze pembeni ili watinge fainali, natumai na leo hilo halitakuwa tatizo, kazi iliyopo ni kuthibitisha tu Simba ndio babalao Tz.
Dadadeki.Niko mitamboni..angalia cursor inapita wapi halafu inaazia wapi na kuishia wapi.. Nipo kilingeni sibanduki hapa... Japo adui naye anafanya yake akisaidiwa na uto fc..lakini leo hachomoki mtu
2 Mpaka3Tupe matokeo roho zetu zitulie
kwa hiyo tunafungwa? 😥😥😥
Usikimbie huu uziAZAM 3 THIMBA 1
Simba ya ndondo cup lakiniSimba leo anafungwa