Papa Mopao
JF-Expert Member
- Oct 7, 2009
- 4,153
- 2,647
Wewe furahi kukutana na Simba, hayo yamepita!!Huyu refa huyu!!! Mbona kama amewapa advantage Mbumbumbu fc!!! Alitakiwa awe fair bhana!!! Watu hawajajipanga, yeye anaruhusu wauza ice cream kufungwa kizembe hivi!!
Inauma sana.
Chukulieni ni maandalizi ya kwenda CAF