FT: Kombe la Shirikisho: Rivers United 0-2 Young Africans. 23, 04, 2023

FT: Kombe la Shirikisho: Rivers United 0-2 Young Africans. 23, 04, 2023

Mimba tayari una kichefuchefu baada ya zile mbili
Mna kombe moja tayari msimu huu kuifunga Yanga! Ila ukweli mnaujua bingwa huanzia ugenini anazuia tu kwao Morocco mtakoma mtakandwa week na mna bahati Msuva hayupo angewakanda ndani nje!

Jana Wydad hawakutaka kuanguka kwa utelezi wakiona mpira wa hovyo mnacheza Huku mnanyeshewa mvua kama Bata mzinga na hawakucheza kabisa kutafuta ushindi Simba walihangaika sana kutaka kuonekana ni timu kubwa jamaa wanacheza kwa kurelax na Kwa mpira wa kitabu! Counter attacks tu, Hata goli lilifungwa kwa juhudi binafsi si uwezo wa timu Wydad wakashangaa mmefungaje timu dhaifu Haina kombe lolote miaka miwili Sasa ni kusindikiza Mabingwa wa Kihistoria Dar Young Africans!

Mwende Morocco na kapu la magoli utopolo tuna uhakika mvua hamna kule na mtakakandwa magoli ya Kihistoria maana thamani ya mchezaji mmoja wa Wydad ni sawa ujumlishe Inonga, Mzee Onyango, Bocco, Chama, Baleke, Kanoute , Sakho na Tshabalala!

Mkishakandwa mje kushtaki mi nimekaa pale!!
 
Darubini yako itakuwa ni Ile ya kitoto umenunua Jana ulipotembea sikukuu ya Eid Ile unaweka picha inakuzwa!! Mbumbumbu fc kwenye ubora wako!

Leo ni mechi ya kisasi Utopolo tunashinda na usikimbie tutakuja kwako tukipuliza mavuvuzela baada ya ushindi wa tatu bila! Makolo hamtaamini sisi mechi tuliyowekeza ni Leo sio derby ambazo tumewapiga kama ngoma bila huruma tangu 2019 hamjui kuifunga Yanga kwenye ligi bila makandokando ya kuanzisha mpira bila filimbi ya Refa mara tucheze kumi ndo mshinde msuli hamna wa kuipiga Yanga!
🤣🤣🤣 sawa mimi nitarudi baadaye kukusalimia
 
Nyie Makolo fc mmebeba Mimba nyingi za Derby tangu 2019 ni kipigo tu mnalia ovyo!

Yanga iliwekeza mechi ya kisasi ya Leo sio derby! Kweli masikini akipata m... Hulia mbwata! Jezi zenu mlifungia kabatini zingine mnapigia deki wiki iliyopita ndo mmeanza kuvaa, nasema uwongo?

Tulia wewe kolo hii ni mechi ya kisasi Leo Utoh tunashinda 3 - 0 usijifiche tukija kwako na mavuvuzela baada ya ushindi wetu huko Naija!
Hadi leo bado mnaweweseka kufungwa na Simba!,hiyo imeenda mimba tayari iliingia haijalishi ulibakwa au ulitoa mwenyewe kwa hiari yako,na leo tena mtapigwa kama ngoma na Rivers mtake mstake
 
Back
Top Bottom