FT: Kombe la Shirikisho: Rivers United 0-2 Young Africans. 23, 04, 2023

Hiyo Robo fainali mliicheza mwaka gani na Caf ipi ?
 
Club Bingwa kugumu yani chochote unachokupata kwenye hii hatua ni big worth

Umefuuga timu ha viwete basi unaviiimbaa unajiona Bayern hapo ulipo
Huku kwenye viwete Simba kausha shiriki na hana kombe. Msimu uliopita kwenye kombe la viwete kaishia robo fainali kama kawaida yake
 
Robo fainali ya Cafcl ina thamani zaidi ya hilo kombe lenu la mbuzi, ukibisha nitajie mara ya mwisho mmecheza makundi tu ya Cafcl ilikua mwaka gani
Simba ameshiriki hilo kombe, akawasha na moto uwanjani ila akaishia robo fainali. Ingekuwa ni michuono rahisi mngefika hata nusu fainali tuwaone.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
WERAAAAAAAAAAAA.....[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuna [emoji240] haziamini kilichotokea[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kalpana unakwama wapi kuhamia Yanga kwa visu hivi?

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Huku kwenye viwete Simba kausha shiriki na hana kombe. Msimu uliopita kwenye kombe la viwete kaishia robo fainali kama kawaida yake
Nawewe ambaye ulishiriki na haukuweza kufika hatua ya robo tukuiteje?

Afu kile kipindi timu zilikuwa ngumu, imagine unacheza na Rs Berkane ambayo ipo kwenye ubora unacheza na Orlando Pirates ambao huko SA ni tishio

Na ukicheki hizo timu zote baada ya kutufunga sisi zote zilifika fainali.

Hiyo ina maanisha kipindi hicho kulikuwa na ugumu.

Hata saizi hakuna mpinzani uliyecheza naye mwenye kufikia hata nusu ya hao wawili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…