FT: Kombe la Shirikisho: Rivers United 0-2 Young Africans. 23, 04, 2023

Rs Berkane wa kipindi hicho alikuwa bora, saizi naona kama kapokonywa wachezaji wake muhimu.

Halafu huyo Monastir sio wakumuona mkali kwasababu kamfunga Rs Berkane iliyo mbovu.

Niambie wewe ni timu gani ambayo mlikutana nayo ukasema huu ni mfupa?
 
Nigeria mwenye akili ni Burna Boy tu, wengine wote vikaragosi. Niliwahi kuwaambia wanigeria wenyewe kuwa hawana akili πŸ€£πŸ˜‚πŸ€£
 

Kombe ni heshima, ni sawa na mtu kusimikwa alama ya ufalme. Hivyo timu yako ikipewa kombe ni sawasawa na kusimikwa ufalme wa mashindano.

Mahindi wa CAF confederation cup anapewa usd milion 1.25 je ni sawasawa na usd 650,000 anazopata timu inaishia robo fainali ya CAF champions league? Saa zingine uache kuwa mlevi wa ushabiki.
 
Hao akina Orlando walikua wababe wakati wenu. Kwa sasa ni vibonde tu, ndio maana hata hawajafuzu.

Hawa waliopo ndio wababe wa sasa,na ndio mmaana wamefuzu na kufika hapo. Japo wakikutana na dude la kutisha la kuitwa Yanga, wanapoteana!
Ni kweli walikuwa wababe kwasababu walikuwa na kikosi kizuri kuliko.walivyo sasa.

Team ambayo imeendelea kuwa na consistency ya kuwa na wachezaji wazuri naweza kusema ni Pyramids.

The rest ni wenzenu tu
 
Ugumu na upima kupitia performance

Timu ngumu nyingi haichezi hayo mashindano
Na Bingwa wa CAFCL "WIDAD CASABLANCA" alipigwa na timu laini Berkane FC "Bingwa wa CAFCC" kwenye super cup 10/09/2022.

Aden Rage, Aden Rage, Aden Rage nimekuita mara 3 uje kuchukua Mbumbumbu lako huku [emoji3]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Rs Berkane wa kipindi hicho alikuwa bora, saizi naona kama kapokonywa wachezaji wake muhimu.

Halafu huyo Monastir sio wakumuona mkali kwasababu kamfunga Rs Berkane iliyo mbovu.

Niambie wewe ni timu gani ambayo mlikutana nayo ukasema huu ni mfupa?
Wataje wachezaji wake muhimu waliopokonywa, timu haipokonywi mchezaji bali ni biashara hufanyika. Kama alimuachia mchezaji kama free agent basi ni wewe ndiye uliyeona umuhimu wake ila wao hawakuona umuhimu wake.

Je hawakusajili?
 
Na Mzee Mpili akaomba mbele ya camera Simba waisaidie Yanga maana wana uzoefu na mashindano ya kimataifa.
 
Wanacheza utelembwe tu!
Na hii ndio maana halisi ya kombe l loosers!
Yanga kwa ushindi mnono Naija Leo kama nilivyosema mwanzoni mwa Uzi huu, tena tumeshinda ugenini nchi yenye kiwango kikubwa Cha soka Utoh tunaenda nusu fainali kombe la loosers shirikisho , Njia yetu nyeupeee!

Simba ambae kiasili ni Paka inayocheza kombe la mabingwa Africa bila kuwa na ubingwa wowote kwao ni kenge tu anasindikiza mabingwa mamba wakubwa kina Wydad na Utoh tuna uhakika Simba itakandwa 7- 0 Morocco na kuishia robo fainali kama kawaida Huwa ndio mwisho wa kelele za mbumbumbu fc!
 
Akijibu utanistua
 
Mna miaka karibia 30 makundi tu ya champions league hamyajui,, fikeni tu hata makundi kama rahisi
Arsenal ndiyo Western London FC kwa baadhi ya timu zingine iliyokuwa ya kwanza kutinga fainali za UEFA CHAMPIONS LEAGUE 2006 na haikubeba kombe hilo.

Chelsea ilikuja nyuma 2012 na 2021 ikabeba mara zote 2.

Usimdharau anayekukimbiza maana huwezijua ya kesho.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Ukiwa broke utaona kupewa 100 ni bonge ya love.

Lakini kwa tajiri hiyo ni dharau.

Mtu ambaye anapata 1.5B kwenye michuano migumu ambayo sio rahisi wewe mwenye 500M ya NBC kuipata, utasemaje mwenye 500M ameheshimika?

Utaona ni heshima kwasababu ya umasikini wako, na ndio maana kila zinapotolewa rank za timu bora Africa haujawahi kutajwa licha ya kwamba una heshima ya kombe la NBC.

Mashindano makubwa hapa Afrika ni Club Bingwa tu.

Yeyote anayefanya vizuri kwenye hii michuano ndio mwenye nafasi kubwa ya kujimilikisha heshima.

Ni kweli mshindi wa confederation anachukua pesa nyingi kidogo kumzidi yule aliyefika robo ya Club Bingwa.

Lakini we jiulize, kwanini kuna gape dogo kwenye hiyo pesa kati ya mshindi wa federation na aliyetolewa kwenye robo ya Club Bingwa?

Maana yake ni kwamba huyu wa Club Bingwa akiwa katika hatua za chini anakuwa amefanya kazi kubwa sana ambayo ili kuilinganisha na level za confederation basi ni mpaka uongeze level mbili au tatu za juu ndio upate ratio sawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…