FT: Kombe la Shirikisho: Rivers United 0-2 Young Africans. 23, 04, 2023

Nafasi mliyoipata sio kushiriki, nafasi mliyoipata ni kupangwa na viande.

Kwani unafikiri kwanini kwenye Club Bingwa kulikushinda wakati nafasi ulipata?
Wewe si ulipangwa na kibonde tena alikuwa anashika nafasi ya saba ligi yso ulifanya nini zaidi ya kuota moto.

Ila huyu kibonde wa leo Wydad alimpiga mbili Nigeria, sasa sijajua kibonde akicheza na Yanga tu.

Kwani wewe msimu uliopita si ulipata nafasi ya kushiriki club bingwa sasa kwanini ulidondokea shirikisho.
 
... 🚨 Rekodi nyingine tena !!

» Yanga imekuwa timu ya Kwanza (CAF) kuwafunga Rivers United nyumbani kwao.

» Imekuwa timu ya kwanza kuwazuia Rivers Utd kufunga bao (CAF) wakiwa kwao 🇳🇬 🔥

» Rivers United wakiwa nyumbani msimu huu kwenye mashindano ya (CAF) !
Kubwa zaidi hawana ball on target hata moja😊😊
1. ✅ Rivers 2 - 1 🇲🇦 Wydad Casablanca
2. ✅ Rivers 5 - 0 🇱🇾 Al Nasr
3. ✅ Rivers 3 - 0 🇨🇮 ASEC Mimosas
4. ✅ Rivers 3 - 1 🇨🇩 Motema pembe
5. 🤝 Rivers 2 - 2 🇨🇬 Diables Noirs
6. ❎ Rivers 0 - 2 🇹🇿 Yanga SC

NB ; Kuna watu walitamani kusema Rivers ni wabovu, lakini wakikumbuka record hii wananyuti 🧐
 
Waoooooh.....Bantu Lady, Shadeeya, Beeb, tafadhali kwa heshima na taadhima nawaomba mumpokee mgeni wetu huyu pindi tu tutapotangaza ubingwa wa NBC PL 2022/2023.

Nimeshasevu hii ahadi yako Mama...[emoji1666][emoji122]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Cry more and more like a baby [emoji4]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
ASIPUUZWE KABISA HUYU ANA HOJA [emoji116]

"Heshima ya timu inajengwa na vikombe vnavyotambulika na CAF/FIFA. ukiingia kutafuta profile ya timu utaona umeweka domestic cups na CAF interclub cups. Hizo pesa wewe kama mshabiki zinakusaidia nini? Au Mo anazigawaga kwa mashabiki pesa zinazovunwa? Shabiki raha yake ni vikombe sio pesa."

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Nafasi ya 7 akiwa na viporo tofauti na huyo tula
 
Kama kaunta ya kibu!?
 
Counter bana!!
Sio counter ile, angalia hata wachezaji wa Yanga wengi walikuwa kwenye eneo lao.

Counter inaanzia eneo la upinzani unafanya mashambulizi ya haraka kabla ya mpinzani hajafika kwenye eneo lake kutengeneza shape ya ulinzi
 
Sio counter ile, angalia hata wachezaji wa Yanga wengi walikuwa kwenye eneo lao.

Counter inaanzia eneo la upinzani unafanya mashambulizi ya haraka kabla ya mpinzani hajafika kwenye eneo lake kutengeneza shape ya ulinzi
Kaunta ni kujibu,haijalishi position,Ila ukianzisha shambulizi kwako ndiyo siyo kaunta
 
Nafasi ya 7 akiwa na viporo tofauti na huyo tula
Sijui unapo ongea reference unatoa wapi.

Kaizer hakuwa na kiporo kama alikuwa navyo si kama ulivyokuwa navyo ww misimu minne iiyopita maana ww ulikuwa na viporo mpaka vitano. Ligi za wenzetu wanajua kupanga ratiba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…