joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Wewe si ulipangwa na kibonde tena alikuwa anashika nafasi ya saba ligi yso ulifanya nini zaidi ya kuota moto.Nafasi mliyoipata sio kushiriki, nafasi mliyoipata ni kupangwa na viande.
Kwani unafikiri kwanini kwenye Club Bingwa kulikushinda wakati nafasi ulipata?
Ila huyu kibonde wa leo Wydad alimpiga mbili Nigeria, sasa sijajua kibonde akicheza na Yanga tu.
Kwani wewe msimu uliopita si ulipata nafasi ya kushiriki club bingwa sasa kwanini ulidondokea shirikisho.