Yani sijajua imekuwaje mpaka wewe ukaniletea huo msimamo kama referencesMsimamo wa league Nigeria 22/23 wao league yao ina Makundi mawili,Rivers ana mechi mbili mkononi.
Huwa si mpenzi sana wa hiyo mitandao, na sipendi kupoteza hiyo neema, labda nikuje pm huenda nikakuona jinsi gani ulivyoumbika na ukaumbika haswa kiuzuri Mama [emoji3]Njoo jukwa la chitchat..selfika uone visu live bila chenga..
Nakutuku picha ya me liveeeee
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Maelezo ya picha yamekutosha?Sina Cha kusoma kuhusu counter attack
Sawa semaji kuu la Wydad Casablanca toka Tandale.Wydad hii game wala hawakuitaka
Nimekuonyeshea performance ya Rivers msimu huu ktk ligi yao,mliyempa jina kibonde baada ya kufungwa na Yanga, ila kuna wenzako walimsifia kisa kamfunga Wydad ila leo kwakuwa kapigwa na Yanga mnamwita kibonde.Yani sijajua imekuwaje mpaka wewe ukaniletea huo msimamo kama references
Imagine vifaa vilaiiiinii kama hivi anaachaje kuja Yanga ili azidi kuwa Pisi Kali kama Delilah [emoji2960][emoji16]Hahaa mwambie aje aoneshe hayo mashallah
Baada ya kufungwa na Yanga?Nimekuonyeshea performance ya Rivers msimu huu ktk ligi yao,mliyempa jina kibonde baada ya kufungwa na Yanga, ila kuna wenzako walimsifia kisa kamfunga Wydad ila leo kwakuwa kapigwa na Yanga mnamwita kibonde.
Bado Mtani hadi hatua ya pili itapoisha kwa Mkapa dakika 90 maana mpira huwa hautabiriki kabisa (hauna mwenyewe).Usijali ni ka utani tuuu...by the way nusu fainali mmeshatinga..
Mimi kuna wenzako nipo nao kwenye magroup walipost matokeo ya mechi ya River na Wydad kututisha plus Genta na thread yake sasa leo wengi wenu nashangaa kuwaita hawa jamaa ni vibonde, ww naona ulikiwa najicho la peke yako ila wenzako walio wengi wakikuwa wanatuchukulia tofauti.Baada ya kufungwa na Yanga?
Hii ilikuwa ni siku ya drawView attachment 2597530View attachment 2597531View attachment 2597532
Mpira toka kwa kipa kwenda kwa mshambuliaji ni kaunta!?Maelezo ya picha yamekutosha?
Ni counter kutokana na kwamba mpira haujaanzishaa na kipa baada ya kutoka nje.Mpira toka kwa kipa kwenda kwa mshambuliaji ni kaunta!?
[emoji23][emoji23][emoji23] wamekula Kona kaliSasa Berkane uliyemuona ndio mzuri kipindi chenu na kawatimulia vumbi hadi kombe kabeba, ila huku aka ku prove wrong. Kakutana na Monastir akamsukumia nje huko. Huyo Orlando pirates hata kufuzu hakufuzu, Asec mimosa ndio pekee yupo hadi sasa, ila wengine wote wamekutana na moto wamekula kona.
Tangu mwanzo niliona Rivers haina makubwa ya kustaajabishaMimi kuna wenzako nipo nao kwenye magroup walipost matokeo ya mechi ya River na Wydad kututisha plus Genta na thread yake sasa leo wengi wenu nashangaa kuwaita hawa jamaa ni vibonde, ww naona ulikiwa najicho la peke yako ila wenzako walio wengi wakikuwa wanatuchukulia tofauti.
Mbona hiyo picha Kuna wachezaji/mabeki wa timu inayopigwa kaunta tofauti na maelezo Yako!?Ni counter kutokana na kwamba mpira haujaanzishaa na kipa baada ya kutoka nje.
Ni baada ya timu pinzani kujikusanya golini kwa wingi kwa ajili ya kufanya shambulizi huku katika eneo lao hakuna back line yeyote.
Hivyo katika shambulizi lao likazuliwa na kipa, kipa fasta akaanzisha mpira kwa mshambuliaji ambapo kwa wakati huo wapinzani wote wapo kwenye lango lao.
Hiyo picha inafanana na ile counter ya Liverpool waliyocheza na Man City. Uliona baada ya kipa kudaka mpira nini kilifata
Napitia comments zako tartiiiiiiiiiib, nacheka sasa.. [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hawa rivers wamefanya kosa kubwa sana. Nafasi yao ya kupita ni ndogo sana. Ni kama haipo.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Tatizo lenu Simba, huwa hamchezi kwa akili muwapo ugenini. Always mnawaza Sare hasa hizi game za mtoano. Waangalieni Yanga wakiwa ugenini wanacheza kama wako kwao.Hadi sasa Yanga keshaingia Nusu
Simba tuna mlima mkubwa sana, tukitoka tutadharauriwa na hawa watu hadi tujute